C Challenger M Member Joined Oct 31, 2010 Posts 81 Reaction score 2 Nov 1, 2010 #1 Jamani mbona hatupati matokeo ya Dar hasa Ilala kimyaaa wenzetu Zenj wameshamaliza. Au wanataka kuvuruga amani:A S cry::A S cry:
Jamani mbona hatupati matokeo ya Dar hasa Ilala kimyaaa wenzetu Zenj wameshamaliza. Au wanataka kuvuruga amani:A S cry::A S cry:
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Nov 1, 2010 #2 Wameshamaliza Kazi zenji sasa CCM wanahamia Bara
chokambayaa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 546 Reaction score 69 Nov 1, 2010 #3 :tape:Jamani Temeke sijasikia kulikoni? au wanaendelea na maandalizi ya uchakachuaji????
Masaki JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,463 Reaction score 754 Nov 1, 2010 #4 Dar hakuna hata jimbo moja ambalo tumetangaziwa matokeo rasmi, ukiacha diwani wa Mwananymala na Tandika
Dar hakuna hata jimbo moja ambalo tumetangaziwa matokeo rasmi, ukiacha diwani wa Mwananymala na Tandika