Elections 2010 Dar vipi mbona kimya

Elections 2010 Dar vipi mbona kimya

Challenger M

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
81
Reaction score
2
Jamani mbona hatupati matokeo ya Dar hasa Ilala kimyaaa wenzetu Zenj wameshamaliza. Au wanataka kuvuruga amani:A S cry::A S cry:
 
Wameshamaliza Kazi zenji sasa CCM wanahamia Bara
 
:tape:Jamani Temeke sijasikia kulikoni?
au wanaendelea na maandalizi ya uchakachuaji????
 
Dar hakuna hata jimbo moja ambalo tumetangaziwa matokeo rasmi, ukiacha diwani wa Mwananymala na Tandika
 
Back
Top Bottom