Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
na kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.Ukitaka kuona vituko pakua app yao, utachoka zaidi! Haieleweki, ukiingia inakupeleka tena kwenye web view!
Acha bongo iitwe bongo!
Hahahaha... Mnaijeria hata awe rafiki yako wa karibu,sio mtu wa kumuamini.Hiyo app ovyo balaa! Ilikua imevurugika, ilishinda ikigomagoma...sikuwahi itumia even once. I uninstalled it asap! Ni kirusi kile.
na kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.
Kwenye haya mambo hakuna kumwamini mtuna kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.
Hakuna ya Joh mzee.unaokota hadi picha za Johannesburg na kuziweka Lagos lengo lako Ni nn?Kama hujui vitu uliza ww
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
moshi hawezi kumgusa iringa mkuu!Kumbe ubora wa mji unapimwa kwa muktadha wa usafi!?
Basi kama ni hivyo Moshi ni zaidi ya Detroit.
Hakuna ya Joh mzee.
Picha moja tu pale ndiyo sio real ni plan yao hadi 2020 centre iwe hivyo.
Nionyeshe picha ya joh halafu nitakutajia majina ya majengo marefu kwenye hizo picha nilizorusha ambayo yote yapo Lagos.
Siwezi kukubishia maana picha sijapiga mwenyewe na miji hufanana pia.hii ni Johannesburg
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nmeshakwambia apo ni Lagos uache upimbi wako kama hujajipanga jipangeSiwezi kukubishia maana picha sijapiga mwenyewe na miji hufanana pia.
Angalia kilichofanya niiweke hiyo picha kuna Jengo linaitwa NECOM lagos
Picha ikiwa imechukuliwa kwa nyuma
Ila hapa ikachukuliwa kwa mbele
.
Note, I'm neither defending Dar nor Lagos.
Johannesburg sio Lagos, unacopy na paste kila kituNmeshakwambia apo ni Lagos uache upimbi wako kama hujajipanga jipange
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sasa mimi ndiyo pimbi au wewe.Nmeshakwambia apo ni Lagos uache upimbi wako kama hujajipanga jipange
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
JoziSasa mimi ndiyo pimbi au wewe.
Mara hapo ni lagos mara joh. Eleweka mzee
Mtu mwenyewe hueleweki mwisho utasema ni Arusha. Asubuhi njema. Mara lagos sio lagosSasa mimi ndiyo pimbi au wewe.
Mara hapo ni lagos mara joh. Eleweka mzee
Umeshaelewa acha kulazimisha ujinga basiMtu mwenyewe hueleweki mwisho utasema ni Arusha. Asubuhi njema. Mara lagos sio lagos