Dar vs Lagos

Dar vs Lagos

8d43b40939f4b6249b11be78f6892ce4.jpg
2fe05a3c7cf668696f2e8213ad9e479f.jpg
c1ab602d23f0d7ab316695f463be0b61.jpg
dce6034dd043b1f3b3b06e4cc9c4c199.jpg
837de7b90c30717e91c4fcc221185fc0.jpg
0939d7c501870782f4d9e33f871ec782.jpg

Duh! East Africa, tunarushiana vijembe sana, lakini kiukweli tuko mbele.

Ukitoa Abidjan, hizo miji zingine zote huko ziko tu hivi, uchafu, majiji mabovu, miundo mbinu....kila kitu kinakaa tu kishagala baghala!
 
Ukitaka kuona vituko pakua app yao, utachoka zaidi! Haieleweki, ukiingia inakupeleka tena kwenye web view!

Acha bongo iitwe bongo!
na kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.
 
Hiyo app ovyo balaa! Ilikua imevurugika, ilishinda ikigomagoma...sikuwahi itumia even once. I uninstalled it asap! Ni kirusi kile.
Hahahaha... Mnaijeria hata awe rafiki yako wa karibu,sio mtu wa kumuamini.
na kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.
 
Mh wanaijeria wametuzidi jaman...dar haiingii kwa lagos

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
na kwa jinsi wanaijeria walivyo washenzi,siku nikipakua app yao sitatumia genuine mail yangu ku-create account... nitatumia fake mail....huwa siwaamini watu wa ile nchi hata kidogo.
Kwenye haya mambo hakuna kumwamini mtu

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
6e9a4c0ca3972f05494d4c5843bc8b46.jpg
unaokota hadi picha za Johannesburg na kuziweka Lagos lengo lako Ni nn?Kama hujui vitu uliza ww

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hakuna ya Joh mzee.

Picha moja tu pale ndiyo sio real ni plan yao hadi 2020 centre iwe hivyo.

Nionyeshe picha ya joh halafu nitakutajia majina ya majengo marefu kwenye hizo picha nilizorusha ambayo yote yapo Lagos.
 
Hakuna ya Joh mzee.

Picha moja tu pale ndiyo sio real ni plan yao hadi 2020 centre iwe hivyo.

Nionyeshe picha ya joh halafu nitakutajia majina ya majengo marefu kwenye hizo picha nilizorusha ambayo yote yapo Lagos.
3a742bf69816d7614ec0ddcce2689247.jpg
hii ni Johannesburg

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
3a742bf69816d7614ec0ddcce2689247.jpg
hii ni Johannesburg

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Siwezi kukubishia maana picha sijapiga mwenyewe na miji hufanana pia.

Angalia kilichofanya niiweke hiyo picha kuna Jengo linaitwa NECOM lagos
Picha ikiwa imechukuliwa kwa nyuma
fdb34e4997d1d0b5cb7901e5829ef2cb.jpg


Ila hapa ikachukuliwa kwa mbele
e5526d1d55229fba14e29890ff7afae2.jpg
.

Note, I'm neither defending Dar nor Lagos.
 
Siwezi kukubishia maana picha sijapiga mwenyewe na miji hufanana pia.

Angalia kilichofanya niiweke hiyo picha kuna Jengo linaitwa NECOM lagos
Picha ikiwa imechukuliwa kwa nyuma
fdb34e4997d1d0b5cb7901e5829ef2cb.jpg


Ila hapa ikachukuliwa kwa mbele
e5526d1d55229fba14e29890ff7afae2.jpg
.

Note, I'm neither defending Dar nor Lagos.
Nmeshakwambia apo ni Lagos uache upimbi wako kama hujajipanga jipange

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom