LGE2024 Dar: Vurugu wakati wa kupiga kura maoni kata ya Yombo Vituka

LGE2024 Dar: Vurugu wakati wa kupiga kura maoni kata ya Yombo Vituka

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hizi kura za maoni zimekuwa na vurugu sana CCM, hii inaashiria kutokuwepo kwa demokrasia katika taratibu za kupata wagombea kutoka kwenye chama chao.

Nani alikudanganya Tanzania ni nchi ya kidemokrasia? Mimi naona hata jina la nchi yetu ni Republic siyo Democratic.
. Hivi huu wa kutokujijuwa ni ukondoo au ujinga tu wa asili?
 
Back
Top Bottom