AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Hio ni kweli kwa HNWIs bil 20 , japo wapo wanaouza hio hela ila kutokana na biashara zao hawatoi risiti ipasavyo na hawatakuja huko.Asante kwa swali zuri:
Ofisi hii itahusika zaidi na
1: Wakurugenzi wa makampuni yenye Mauzo ghafi (turn over)ya kuanzia Shilingi za kitanzania 20B kwa mwaka
2: Wenye biashara ya kushirikiana (partnership) zenye mauzo ghafi ( turnover)ya kuanzia shilingi za kitanzania 20B
3: Watu binafsi wenye hisa kwenye kampuni zilizowekeza Soko la Hisa la Dar e salaam (DSE)yenyye thamani ya uwekezaji kuanzia 2.5B
Shusheni hata bilioni 10 au muweke class (HNWNs, Prestige HNWIs na royal HNWIs)ya kituo lets say kuna ofisi ya wenye revenue ya bil 8-10 kuna 10-20 na over 20 bilion maana kuna wanao uza bil 20 ila margin 5% ,kuna wanaouza bilioni 10 ila margin 25%
Nimewaza bila kufikiria ,asante