Dar: Wabunge waipongeza TRA kufungua ofisi ya walipa kodi binafsi wenye hadhi ya juu

Hio ni kweli kwa HNWIs bil 20 , japo wapo wanaouza hio hela ila kutokana na biashara zao hawatoi risiti ipasavyo na hawatakuja huko.

Shusheni hata bilioni 10 au muweke class (HNWNs, Prestige HNWIs na royal HNWIs)ya kituo lets say kuna ofisi ya wenye revenue ya bil 8-10 kuna 10-20 na over 20 bilion maana kuna wanao uza bil 20 ila margin 5% ,kuna wanaouza bilioni 10 ila margin 25%

Nimewaza bila kufikiria ,asante
 
Nakubaliana nawewe eneo 1 la "matabaka" sisi wote ni walipa kodi kila mtu kulingana na biashara anayofanya.

Mimi ni Mteja Mkubwa sana kulingana na Biashara yangu, Wewe kadhalika kila mtu na Engo yake ya biashara.

Hii kusema hawa wakubwa na hawa wadogo ni kuwadharau wananchi wazi wazi.
 
Maboresho haya yangezingatia OFISI zote za TRA ziwe na muonekano na hadhi ya kisasa sababu kila mlipa kodi ni mtu wa thamani na wa muhimu.

Kuwa na biashara kubwa hakufanyi umdharau mwenye biashara ndogo.

Nakubali DUNIANI hamna uSAWA ila kasoro ndogi ndogo kama hizi zifanywe na watu binafsi na sio SERIKALI.

Wananchi wote ni wa Serikali wana haki sawa bila kujali kipato/dini/kabila.

UChezeaji wa PESA za wananchi tu, maana hata hao WALIPA KODI WAKUBWA pesa zao zinajenga bara bara zinazotembelewa na boda boda na watembea kwa miguu.

Kodi zao sio kwamba zinatengwa zinafanyia JAMBO tofauti na sisi wadogo, KODI zote zinakusanywa zinaenda Fanya jambo la pamoja.

Na matokea tunasema SERIKALI imefanya na wala si WALIPA KODI WAKUBWA.

HII KITU haijakaa sawa nadhani ni matokeo ya udhaifu wa uwezo wa kufikiri wa viongozi waliopo katika maamuzi.

Halafu unaona kabisa kuna majibunya NDIO NDIO NDIO kwa kila wazo linaloletwa.

Hii ni MBAYA.
 
Yaani TRA bhana hapo kuna ubunifu gani sasa! Wameshindwa kuwahudumia kwa ujumla saizi wameamua kuwatenga ili wajipakulie minyama.
 
Unataka Ujue ili uone kama nawewe unastahili kwenda pale?

Pale ni V.V.V.I.P haswa, pale ndio ukitulia getini utawaona wenye nchi yao wakiingia na kutoka.

Ukiona Mtu karidhia kwa MOYO wake wote kulipa kodi 1B kwenda Mbele ujue huyo sio mwenzetu.
Wenye kulipa Kodi kubwa hivyo huwezi wakuta kwny hio ofisi.Hapo utawaona wafanyakazi wa KPMG,EY,DELLOITTE&TOUCHE ,PWC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…