Dar: Wafanyabiashara wawili wa bucha wakamatwa kwa kuchezesha mizani Mitaa ya Mbezi - Dar

Dar: Wafanyabiashara wawili wa bucha wakamatwa kwa kuchezesha mizani Mitaa ya Mbezi - Dar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
photo_2025-03-03_16-16-26.jpg
Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam wamekamata Wafanyabiashara wawili waliokutwa na kosa la kuuza bidhaa ya nyama kwa kutumia mizani yenye kupunja uhalali wa vipimo.

Akibainisha hayo Machi 1, 2025, Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni, Lilian Mwombeki amesema wamefanya zoezi la kawaida la ukaguzi wa kushtukiza kulingana na Sheria ya Vipimo Sura Namba 340 pamoja na mapitio yake ya Mwaka 2002 na kubaini changamoto za baadhi ya Watu ambao si waadilifu kutumia mizani isiyo kuwa na sifa kutoa huduma kwa Wananchi.
IMG-20250301-WA0375.jpg
"Tukiwa katika zoezi letu la ukaguzi wa mabucha ya nyama maeneo ya Mbezi Louis kwa Msuguri, Dar es Salaam sisi tulinunua nyama kilo 1 katika bucha la kwanza ambapo tulipata Gramu 700 ambapo ilikuwa na mapungufu ya gramu 300," amesema Lilian.

Aidha, Meneja huyo ameeleza waliponunua bidhaa hiyo kwenye bucha la pili kwa kiasi cha kilo 2 ikaleta Gramu 1,600 badala ya Gramu 2,000 ambapo ilionekana imepunjwa kwa Gramu 400 hii imeonekana kwamba mizani mingi huwa haizingatii uhalali wa vipimo kwa wateja ambao ndio watumiaji wa bidhaa hiyo.

Imeelezwa wahusika wanaoidaiwa kukiuka Sheria za vipimo kwa makusudi wanashitakiwa kwa kulipishwa faini au kupelekwa Mahakamani.

Pia soma:
~
Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja
~ Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
 
Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam wamekamata Wafanyabiashara wawili waliokutwa na kosa la kuuza bidhaa ya nyama kwa kutumia mizani yenye kupunja uhalali wa vipimo.

Akibainisha hayo Machi 1, 2025, Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni, Lilian Mwombeki amesema wamefanya zoezi la kawaida la ukaguzi wa kushtukiza kulingana na Sheria ya Vipimo Sura Namba 340 pamoja na mapitio yake ya Mwaka 2002 na kubaini changamoto za baadhi ya Watu ambao si waadilifu kutumia mizani isiyo kuwa na sifa kutoa huduma kwa Wananchi.

"Tukiwa katika zoezi letu la ukaguzi wa mabucha ya nyama maeneo ya Mbezi Louis kwa Msuguli Dar es Salaam sisi tulinunua nyama kilo 1 katika bucha la kwanza ambapo tulipata Gramu 700 ambapo ilikuwa na mapungufu ya gramu 300," amesema Lilian.

Aidha, Meneja huyo ameeleza waliponunua bidhaa hiyo kwenye bucha la pili kwa kiasi cha kilo 2 ikaleta Gramu 1,600 badala ya Gramu 2,000 ambapo ilionekana imepunjwa kwa Gramu 400 hii imeonekana kwamba mizani mingi huwa haizingatii uhalali wa vipimo kwa wateja ambao ndio watumiaji wa bidhaa hiyo.

Imeelezwa wahusika wanaoidaiwa kukiuka Sheria za vipimo kwa makusudi wanashitakiwa kwa kulipishwa faini au kupelekwa mahakamani.

Pia soma:
~
Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja
~ Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
kwa sababu hiki ni kipindi cha kula, mbona kipindi cha nyuma kabla ya mfungo mlikuwa hamukamati?
 
Zamani miaka Ile ya 90 kulikuwa na operation maalumu ya kukagua vipimo Ile mamlaka ya vipimo ilikuwa inafanya kazi kwelikweli kuhakikisha wananchi hatuibiwi
 
Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam wamekamata Wafanyabiashara wawili waliokutwa na kosa la kuuza bidhaa ya nyama kwa kutumia mizani yenye kupunja uhalali wa vipimo.

Akibainisha hayo Machi 1, 2025, Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni, Lilian Mwombeki amesema wamefanya zoezi la kawaida la ukaguzi wa kushtukiza kulingana na Sheria ya Vipimo Sura Namba 340 pamoja na mapitio yake ya Mwaka 2002 na kubaini changamoto za baadhi ya Watu ambao si waadilifu kutumia mizani isiyo kuwa na sifa kutoa huduma kwa Wananchi.

"Tukiwa katika zoezi letu la ukaguzi wa mabucha ya nyama maeneo ya Mbezi Louis kwa Msuguli Dar es Salaam sisi tulinunua nyama kilo 1 katika bucha la kwanza ambapo tulipata Gramu 700 ambapo ilikuwa na mapungufu ya gramu 300," amesema Lilian.

Aidha, Meneja huyo ameeleza waliponunua bidhaa hiyo kwenye bucha la pili kwa kiasi cha kilo 2 ikaleta Gramu 1,600 badala ya Gramu 2,000 ambapo ilionekana imepunjwa kwa Gramu 400 hii imeonekana kwamba mizani mingi huwa haizingatii uhalali wa vipimo kwa wateja ambao ndio watumiaji wa bidhaa hiyo.

Imeelezwa wahusika wanaoidaiwa kukiuka Sheria za vipimo kwa makusudi wanashitakiwa kwa kulipishwa faini au kupelekwa mahakamani.

Pia soma:
~
Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja
~ Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
Kumbe maonyo yanapita wanapuuzi,faini Haki Yao!
 
Ni majizi MNO kwa kuchezea mzani.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam wamekamata Wafanyabiashara wawili waliokutwa na kosa la kuuza bidhaa ya nyama kwa kutumia mizani yenye kupunja uhalali wa vipimo.

Akibainisha hayo Machi 1, 2025, Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni, Lilian Mwombeki amesema wamefanya zoezi la kawaida la ukaguzi wa kushtukiza kulingana na Sheria ya Vipimo Sura Namba 340 pamoja na mapitio yake ya Mwaka 2002 na kubaini changamoto za baadhi ya Watu ambao si waadilifu kutumia mizani isiyo kuwa na sifa kutoa huduma kwa Wananchi.

"Tukiwa katika zoezi letu la ukaguzi wa mabucha ya nyama maeneo ya Mbezi Louis kwa Msuguli Dar es Salaam sisi tulinunua nyama kilo 1 katika bucha la kwanza ambapo tulipata Gramu 700 ambapo ilikuwa na mapungufu ya gramu 300," amesema Lilian.

Aidha, Meneja huyo ameeleza waliponunua bidhaa hiyo kwenye bucha la pili kwa kiasi cha kilo 2 ikaleta Gramu 1,600 badala ya Gramu 2,000 ambapo ilionekana imepunjwa kwa Gramu 400 hii imeonekana kwamba mizani mingi huwa haizingatii uhalali wa vipimo kwa wateja ambao ndio watumiaji wa bidhaa hiyo.

Imeelezwa wahusika wanaoidaiwa kukiuka Sheria za vipimo kwa makusudi wanashitakiwa kwa kulipishwa faini au kupelekwa mahakamani.

Pia soma:
~
Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja
~ Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
KIFUPI HAWA WAMECHOMWA MKUU MIZANI NYINGI MIKOA YOTE N ZA WIZI UNAIBIWA MJUU CHUKUA NYAMA KAMA UNA MIZANI KWAKO KAPIME KAMA N KG 3 ULIZOLIPIAAAA

NDIO MAANA WAKIWA WANAKAGUA WANAKUSOGEXA PEMBEN WAKIKUTA WANAKOSA WANAELEWANA WANAMALIZANAAA

HAIJAWAHI MWACHA MTU SALAMA HII
 
Akibainisha hayo Machi 1, 2025, Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Kinondoni, Lilian Mwombeki amesema wamefanya zoezi la kawaida la ukaguzi wa kushtukiza kulingana na Sheria ya Vipimo Sura Namba 340 pamoja na mapitio yake ya Mwaka 2002 na kubaini changamoto za baadhi ya Watu ambao si waadilifu kutumia mizani isiyo kuwa na sifa kutoa huduma kwa Wananchi.
Huyo atakuwa ana ugomvi nao hao wawili, kwanini iwe hao tu Dsm nzima wakati kuna mamia ya mizani ziko compromised si sokoni si buchani ukienda tena huko kwenye petrol stations vipimo ni balaa
 
KIFUPI HAWA WAMECHOMWA MKUU MIZANI NYINGI MIKOA YOTE N ZA WIZI UNAIBIWA MJUU CHUKUA NYAMA KAMA UNA MIZANI KWAKO KAPIME KAMA N KG 3 ULIZOLIPIAAAA

NDIO MAANA WAKIWA WANAKAGUA WANAKUSOGEXA PEMBEN WAKIKUTA WANAKOSA WANAELEWANA WANAMALIZANAAA

HAIJAWAHI MWACHA MTU SALAMA HII
Boss kwamsuguri hapafai sio kuchomwa tu. Hata mm last year ningewachoma. Wanapunja na wana nyama imeharibika. Niliweka kwenye airflyer nilijuta. Kwamsuguri very hopeless. Wengi wamepanga hivo hununua vitu vya week si kila siku kama temboni. Wanauziwa vitu hovyo sana. Nenda kajionee. Mimi hata nilipoiona juzi hii habari sikushtuka ni kawaida. Bora wamechomwa na huwa wanakua wakali kweli. Ukiwaambia.
 
Boss kwamsuguri hapafai sio kuchomwa tu. Hata mm last year ningewachoma. Wanapunja na wana nyama imeharibika. Niliweka kwenye airflyer nilijuta. Kwamsuguri very hopeless. Wengi wamepanga hivo hununua vitu vya week si kila siku kama temboni. Wanauziwa vitu hovyo sana. Nenda kajionee. Mimi hata nilipoiona juzi hii habari sikushtuka ni kawaida. Bora wamechomwa na huwa wanakua wakali kweli. Ukiwaambia.
Pole sana HATA huku tegetaaa n mimba shidaa HATA ukiwachoma wanaishia kuja kula pesa zao wanaendelea na ushenzi wao inauma sana sana
 
Back
Top Bottom