Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
HAWA WAMEKATALIWA KUPEWA PESA WANAYOTAKAAA MKUU HAWA SIO WATU UKIONA WAKISHUKA NA GARI UNAWEZA HISI WAMETOKEA BOT LOH KUMBE WANAKUJA KUKUSANYA TOZO WAKIKUTA INA SHIDAAHuyo atakuwa ana ugomvi nao hao wawili, kwanini iwe hao tu Dsm nzima wakati kuna mamia ya mizani ziko compromised si sokoni si buchani ukienda tena huko kwenye petrol stations vipimo ni balaa
SIO HIOO KUNA AMBAO KABISAA WANAPEWA NO ZA SIMU IKITOKEA KUNA MSACHO AREA ZENU AKIWA OFISIN ANAKUSHTUA...UNAWEKA SAWA WAKIPITA LAZIMA JAMAA ATUMIWE AHSANTE NDIO MAISHA YANAENDA MKUU