JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Watu kadhaaa wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakiwa kwenye shughuli za machimbo ya mawe katika eneo la machimbo ya Kikikaka, Mji Mwema Kigamboni, Dar es salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali shughuli za uokoaji zinaendelea.
Kwa mujibu wa shuhuda aliyekuwepo eneo la tukio inadaiwa kuna watu watatu wamepoteza maisha na tayari miili yao imeshatolewa, bado mamlaka za usalama hazijatoa tamko juu ya uthibitisho huo.
Picha: Millard Ayo
Kwa mujibu wa shuhuda aliyekuwepo eneo la tukio inadaiwa kuna watu watatu wamepoteza maisha na tayari miili yao imeshatolewa, bado mamlaka za usalama hazijatoa tamko juu ya uthibitisho huo.
Picha: Millard Ayo