Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

We unataka tuwaite mabeberu?????
 
Wanaume wa dar nao mnanishangaza. Kwetu huku watoto wamgekuwa wanatumia tope hilo kubumba magari midoli vijumba n.k [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji2][emoji1][emoji2][emoji3][emoji1787]
 
Kuna uhusiano gani na wataalamu wa UDSM na ilo tope? Hata kama wangepewa kazi si inapaswa wafanye utafiti na kuandika report
Hivi unajua kuna tume ya Jiologia Tanzania??
 
Mleta uzi kabda ya kuwatupia lawama UD na wewe ungeonyesha uwezo na weledi kwa kuweka angalau picha ya hilo tope
Jambo hili linawiki moja sasa na lipo kwenye taarifa za habari na hata kwenye simu yako limo, nitakuja kukuonesha kwenye simu yako maana wewe hauna muda wa kufungua!
 
Niliona itv hiyo picha nazani mpiga picha aliogopa kusombwa na tope maana maelezo na picha nliyoona ni mbingu na ardhi, watu wanaogopa halafu kinachoogopwa sikioni ila nikajiambia nazeeka sasa
Kwenye TV ilioneshwa nyumba ambayo imezama kabisa linaonekana bati la paa tu na baadhi ya nyumba zimebomoka, hili litakuja kuwa janga maana kila siku mashimo yanaongezeka na wakazi wa hapo wanahofu kubwa huku sisi hofu yetu ni Chadema tu.
 
Kuna uhusiano gani na wataalamu wa UDSM na ilo tope? Hata kama wangepewa kazi si inapaswa wafanye utafiti na kuandika report
Hivi unajua kuna tume ya Jiologia Tanzania??
Hilo swali waulize hao wataalam wa jiolojia wa UDSM ambao walikwenda hapo.
 
Mtaalamu alikuwa anajaribu kukumbuka theory zake alizomeza chuo, yule mtaalamu wa miamba prof. muhongo bado hajatafutwa..
Yule alikuwa mpiga ramri, anaeleza kuwa chanzo ni vishindo vya magari na watu wanaopita kwenye eneo hilo! Alionekana siku ya kwanza hana hata kabisibisi ka kuchokonoa mwamba! Alipokuja tena akaleta hizo theory zake za darasa la saba! Hapo ndipo nikamuona hana uwezo ni mpiga ramri tu.
 
Kwa hiyo madaraja yetu, barabara na uwanja tutakuwa tumekula hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliona itv hiyo picha nazani mpiga picha aliogopa kusombwa na tope maana maelezo na picha nliyoona ni mbingu na ardhi, watu wanaogopa halafu kinachoogopwa sikioni ila nikajiambia nazeeka sasa
Gwajima ataeza zuia tope
 
Paundwe jopo la wasomi wakae semina ili kupata suluhisho
 
Hii ni vita ya kiuchumi.

Ni mambo ya Chadema na Mabeberu wao ndo wanaofanya haya. Watashindwa kama kweye CoLOna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…