Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Siyo laxima mleta post aweke picha,mbo sakata la tope kunduchi limetanfazwa sana,
Tusione aibu juwaleta na mabebelu,sisi hatuna uwezo
Niliona mtaalam wa jiolojia kutoka idara husika akitoa ufafanuzi huku akiangaza macho huku na huko, body language ikionyesha dhahiri anaelezea kwa shida mambo aliyokaririshwa vitabuni huku akilazimisha yafanane na tukio hilo.
 
Kuna probability dar nzima kuzama. Ilikadiliwa miaka zaid ya 200 yakua dar itamezwa na maji. Hivo hilo la kunduch ni manyunyu mvua yaja. Pia kuna kitu kingine kinachoitwa plate tectonic movement nayo inaenda kas sana. Hivo nikipata mda tutajadili pamoja ila dar ipo zone mbaya sana na si mara ya kwanza maeneo makubwa, ikiwemo visiwa kuzama kabisa.
 
Niliona mtaalam wa jiolojia kutoka idara husika akitoa ufafanuzi huku akiangaza macho huku na huko, body language ikionyesha dhahiri anaelezea kwa shida mambo aliyokaririshwa vitabuni huku akilazimisha yafanane na tukio hilo..
Mtaalamu alikuwa anajaribu kukumbuka theory zake alizomeza chuo, yule mtaalamu wa miamba prof. muhongo bado hajatafutwa..
 
Hahaha siku tope likitoka kule Dodoma ndiyo mtapata ufumbuzi kwa sasa hilo tope ni sawa na tetemeko la ardhi kule kagera "Hakulileta" yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…