Wametumwa na waajiri wao.Watu wenye Ulemavu waliobomolewa vibanda vyao vya biashara katika Mkoa wa Dar es Salaam, wamepiga kambi usiku kucha nje ya Ofisi za Shirika la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) Masaki wakiomba hifadhi kwa madai ya kushindwa kusikilizwa na Viongozi wa Mkoa na Wilaya.Source-Darmpya Blog
Hii nchi ngumu sana aisee 🤣 🤣Wametumwa na waajiri wao.
KumekuchaWatu wenye Ulemavu waliobomolewa vibanda vyao vya biashara katika Mkoa wa Dar es Salaam, wamepiga kambi usiku kucha nje ya Ofisi za Shirika la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) Masaki wakiomba hifadhi kwa madai ya kushindwa kusikilizwa na Viongozi wa Mkoa na Wilaya.
View attachment 2006754View attachment 2006755
Matajiri wanaharibu sana taswira na sifa ya nchi ya Tanzania kwa kuendekeza ubaguzi kwa baadhi ya makundi yasilyo na kipato cha kueleweka wakiwemo walemavu, wamachinga, mama lishe, bodaboda, na mafundi wasio na mitaji ya kutosha.Watu wenye Ulemavu waliobomolewa vibanda vyao vya biashara katika Mkoa wa Dar es Salaam, wamepiga kambi usiku kucha nje ya Ofisi za Shirika la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) Masaki wakiomba hifadhi kwa madai ya kushindwa kusikilizwa na Viongozi wa Mkoa na Wilaya.
View attachment 2006754View attachment 2006755
UNHCR,Nadhani wamedanganywaWatu wenye Ulemavu waliobomolewa vibanda vyao vya biashara katika Mkoa wa Dar es Salaam, wamepiga kambi usiku kucha nje ya Ofisi za Shirika la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) Masaki wakiomba hifadhi kwa madai ya kushindwa kusikilizwa na Viongozi wa Mkoa na Wilaya.
View attachment 2006754View attachment 2006755
chadema ndio walivunja na kupola mali za maskini hawa?Hapo majizi chadema meno yote nje kwa faida sasa