Dar: Wananchi wa Tegeta kuanza kutumia Usafiri wa Treni hadi Kariakoo

Dar: Wananchi wa Tegeta kuanza kutumia Usafiri wa Treni hadi Kariakoo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Treni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kuwa kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Lengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Daladala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
 
Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

SHIDA ILIANZIA HAPO ULIPOSEMA UMEPENYEZWA TAARIFA
 
Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.


SHIDA ILIANZIA HAPO ULIPOSEMA UMEPENYEZWA TAARIFA
Huo ndo ukweli. Hutaki unaacha.
 
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Tuleni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kua kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Rengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Dalala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
Je ukiwaliza hao wakazi wapo tayari kupokea hayo matreni au uharibifu na kukosa ufanisi kama mwendo kasi!
 
Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.


SHIDA ILIANZIA HAPO ULIPOSEMA UMEPENYEZWA TAARIFA
Sasa kama ni kweli kapenyezewa?

Acheni wivu
 
Issue siyo kufungua njia halafu wote mnaenda kukutana Kariakoo na Posta issue ni kupanua huduma za msingi zisambae pembezoni, vunja soko la Kariakoo pelekeka Ubungo pale, vunja pia soko la Ilala peleka Mwenge n.k, mbona watu watakuwa hawafiki kwa wingi mjini? shida huduma za msingi zote zipo Kariakoo na Posta
 
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Tuleni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kua kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Rengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Dalala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
Jana ulikunywa Bingwa ngapi? Usije ukawa ulichanganya na K-Vant, unaweza kumbaka mkweo. Afadhali wewe umeishia kuota reli ya Tegeta!
 
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Tuleni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kua kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Rengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Dalala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
Mchoro wa route za hiyo treni wapi?
Sasa hivi tuna BRT ndiyo inajengwa!
 
Treni hizi hizi zinazopita pale mwananchi🤣
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Tuleni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kua kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Rengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Dalala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
 
Je ukiwaliza hao wakazi wapo tayari kupokea hayo matreni au uharibifu na kukosa ufanisi kama mwendo kasi!
Bwashee June mwakani barabara ya Mwendokasi Kutoka Posta hadi Boko Dawasa itakuwa imekamilika

Hii ni ya Kisasa zaidi na Vituo vyake Mabasi 10 yanaweza kupaki kwa wakati Mmoja

Mwandyosa alikuwa na mpango wa kuleta Boti kuanzia Mbweni - Ununio - Kunduchi - Mbezi chini- Kawe- Msasani - Kivukoni lakini ilishindikana

Gogo wawapelekee Mbagala huko 😂
 
Serikali ya Tanzania imekamilisha upembuzi yakinifu wa kuwezesha Wakazi wa Tegeta hadi Bunju kutumia Usafiri wa Treni.

Tuleni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.

Nia ni kufungua Dar es Salaam na kutanua huduma kwa Wananchi.

Sasa Tegeta kwenda kua kitovu cha biashara kwa Wananchi wa Bagamoyo.

Tayari Reli ipo ya kuanzia Mjini kati hadi Ubungo. Rengo ni kuunganisha Kariakoo na Tegeta kwa haraka sana

Sasa Utaweza kutoka Dodoma hadi Tegeta bila kupanda Dalala.

Nampongeza sana Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kwa kuwa mfano mzuri kwa Viongozi kwani ni hakika anawatumikia Watanzania.

Taarifa hii nimepenyezewa na Kamishina wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) ,Wizara ya Fedha na Mipango, David Kafulila nilipokutana naye Dar es Salaam.

Kwa Ufupi Dar itatengenezwa njia ya Treni km 160. Tegeta Mwenge Posta na Mwenge Tazara.

Hii Reli itajengwa kwa haraka kwa sababu itajengwa mfumo wa PPP.

Hongereni sana Watanzania
Sorry mkuu wana make vipi profit Trc ya daslamu
Bwashee June mwakani barabara ya Mwendokasi Kutoka Posta hadi Boko Dawasa itakuwa imekamilika

Hii ni ya Kisasa zaidi na Vituo vyake Mabasi 10 yanaweza kupaki kwa wakati Mmoja

Mwandyosa alikuwa na mpango wa kuleta Boti kuanzia Mbweni - Ununio - Kunduchi - Mbezi chini- Kawe- Msasani - Kivukoni lakini ilishindikana

Gogo wawapelekee Mbagala huko
 
Bwashee June mwakani barabara ya Mwendokasi Kutoka Posta hadi Boko Dawasa itakuwa imekamilika

Hii ni ya Kisasa zaidi na Vituo vyake Mabasi 10 yanaweza kupaki kwa wakati Mmoja

Mwandyosa alikuwa na mpango wa kuleta Boti kuanzia Mbweni - Ununio - Kunduchi - Mbezi chini- Kawe- Msasani - Kivukoni lakini ilishindikana

Gogo wawapelekee Mbagala huko 😂
Kila kitu ni kama wacha tuone!
 
Ule mradi wa mwendokasi umesitishwa?
Kila kitu kizuri Dar, na watu wakivifuata wanasimangwa
 
Treni hii itajengwa kuanzia Ubungo Maziwa, Kupitia Mlimani City, Mwenge hadi Tegeta.
Kutokea Maziwa inatobolea wapi maana nikitazama kuna mitambo ya umeme, matenki ya mafuta ya Tanesco, kuna Breweries, Chibuku, Ubungo terminal, Kijazi bridge, Kagame hotel, Kibadamo hotel, Mall ya wachina pale old UBT nk
 
Back
Top Bottom