Wewe habari za yeye kutolewa figo umezipata/ umezitoa wapi?
au uuwawe nyumbani kwako halafu unachukuliwa unapelekwa shambani kwako unatundikwa juu ya mti kama umejinyonga..Duuu
Mbaya zaidi ni kuona wakongwe wakizirudia hizo habari za figo kunyofolewa!Nimeshangaa sana kusikia habari ya kuhusu huyo binti kutolewa Figo maana toka jana ndugu zake walioenda kuutambua mwili walisema hakuna sehemu aliyoonyesha ametobolewa ikiashiria kwamba labda wamechukua hiyo Figo.
JF kuna watoto wamekuja kuibuka wanaleta Habari za udaku wanakera sana kwakweli.
JF imekuwa ya waswahili nadhani moderators hawako serious habari Kama hii ipelekwe jukwaa la mizaha huko au wafungue jukwaa la uswazi.
Siku hizi tunashindwa kupata habari au taarifa zenye kuwa na mantiki zaidi ya vijana kuja na udaku na hawajui hata kujadili zaidi ya kurusha lugha zisizofaa humu jukwaani.
Zamani ilikuwa mtu Kama huyu anayeleta Habari za uongo namna hii alikuwa anakula ban kwa kuleta taharuki namna hii.
Hiyo audio clip ilikuwa na sauti ya nani? Any idea?Chief hapo kabla kulikuwa na audio clip ikielezea hilo tukio kabla na ndio watu wengi walipojua juu ya kifo cha binti huyo...
Hii video imekuja ku clear hizo rumours, (hii video umeweka ndio naiona sasa)
Hiyo audio clip ilikuwa na sauti ya nani? Any idea?
Kwenye kumtafuta wakaenda hospitali zote kufika Amana wakaambiwa "Bwana, hapa ililetwa maiti ya mwanamke tarehe 1, baada ya kukaa sana imechukiliwa imepelekwa Muhimbili" ndugu walivyoenda Muhimbili wakautambua mwili wa Barke na walipomchunguza wakakura ametolewa figo.
Hao watu wa hospitali ndio wamefanya huo mchezo, tena wamefanyia huko huko hospitalini, wasitufanye wajingaKutoa mtu figo inahitaji utaalam ikiwezekana zaidi ya mmoja wameruhusu vipi chumba zaidi ya watu 2 au ile ingia toka hawakuhisi kitu
Hio guest nayo ichunguzwe
Kweli,ngoja tuone mkuuLabda hii ni part 1,tusubiri part 2 ya story...
Spitali gani? Na wamefanya nini hao watu wa spitali?Hao watu wa hospitali ndio wamefanya huo mchezo, tena wamefanyia huko huko hospitalini, wasitufanye wajinga
I see!Hakujitambulisha...ilikuwa tu ni mwanamke kwa sauti anaonekana ni wa makamo anatoa tahadhari kwa mabinti kwamba wawe makini, maana kuna mwenzao (ambaye ndio huyu marehemu) kauawa na kutolewa figo...
Hata hapa JF habari ya kutolewa figo ipo..
Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe
R.I.P[emoji24][emoji24] inasikitisha sana Huyu msichana anaitwa Barke, ameuliwa kifo vibaya sana anaishi llala mtaa wa utete na Pangani. Inasemekana siku ya tukio tatehe 31, walichukuana na mwenzake wakaenda Tabata (Kitambaa cheupe) kwenye starehe zao huku wanakunywa akiwa na mwenzake na mbaba...www.jamiiforums.com
Ni kweli either ukongwe wao unafanya wasiwe na wasiwasi sababu anakuwa anahisi ni Ile JF ya zamani ambayo tulikuwa tunaheshimiana na kuleta mada zenye uhalisia na ukweli.Mbaya zaidi ni kuona wakongwe wakizirudia hizo habari za figo kunyofolewa!
JF imeshuka sana viwango aisee!
Ndugu wa marehemu wamehojiwa na vyombo vya habari. Ndugu hao ndiyo walioukagua mwili wa marehemu. Wao hawajaona chochote kinachoashiria alinyofolewa figo.
Halafu bado wapo wanaodai alinyofolewa figo.
WTF!!
Mwanzo hii habar waliandika marehem ametolewa figoKwani nani katokewa figo?