Dar: Watuhumiwa 17 wakamatwa wakitaka kuwafanyia Mtihani Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria

Dar: Watuhumiwa 17 wakamatwa wakitaka kuwafanyia Mtihani Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.

Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.

Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.

Video: Azam TV
 

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.

Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.

Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.

Video: Azam TV
naona wahusika wote labda waliona watumie vizuri jina chuo huria
 

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.

Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.

Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.

Video: Azam TV
hvi nape yupo kituo gani vile
 
Wamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
ndio hapo sasa! waje tubebe tu tofali saiti
 
Inasemekana na nape Moses nauye Naye ni miongoni mwa waliofanyiwa mtihani.kwa Nini wanaificha hii habari ya nape nauye kufanyiwa mtihani?
Naunga mkono hoja, yule muda wa kusoma madesa anautoa wapi na tayar ana kibunda kwenye vipolo.
 
Wamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
Open watu wanaenda jitafutia gamba tu, 90% ni wafanyakazi.
 
Wamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
Most ya wanaofanyiwaga mitihani huwa ni wale wanafunzi ambao wapo kazini/kwenye ajira.

Anachokuwa anakitaka yeye ni cheti chake cha degree tu au master yake au diploma yake ili apeleke ofisini asubirie barua yake ya kupandishwa cheo.

Na victim wa hii issue ni wanafunzi ambao hawana kazi wenzang na mie umetoka zako home una buku tu ya nauli na bado una usongo ule wa kusoma/ ujohn kisomo ukipewa kali 3 unaona bonge la hela unajitoa muhanga
 
Chuo kikuu unafanyiwa mtihani, kesho unakuwa mkuu wa mkoa au wilaya, hivi tutamlaumuje yule wa kule ?
Mbona hata wao wanawafanyia.hivi vyuo havina tija vinapokea rushwa na kuwapa mitihani wanachuo ili wafaulu.mm napendekeza vifutwe
 
Ila hicho sio chuo, kwa nini wasitumie fingerprints
 
Back
Top Bottom