JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.
Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.
Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.
Video: Azam TV