cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwa kweli waje mtaani tupambanie kombee kwa kuwa saidia fundi.ndio hapo sasa! waje tubebe tu tofali saiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli waje mtaani tupambanie kombee kwa kuwa saidia fundi.ndio hapo sasa! waje tubebe tu tofali saiti
Sasa mbona wanafukunyua haya? Au huyu mkuu ni mpya hapo hajui utaratibu?nasikia kule wanapaita huria yaani ukozako porini unavuna alizeti kule mwenzako anakupigia tu pepa fresh
Sasa km ndo hivyo, huyu mkuu hajui hayo? Au ameamua kuwaumbua watu tyuuh? Mbona inashangazaaa.Open watu wanaenda jitafutia gamba tu, 90% ni wafanyakazi.
Degree na masters fake za kibongo.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.
Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.
Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.
Video: Azam TV
Kuna mapacha walishafanyiana mitihani. Wakakili wazi cloud fm. Lkn hakuna hatua walichukuliwa. Hii ni nchi ya piga kelele leo. Sahau keshoChuo kikuu unafanyiwa mtihani, kesho unakuwa mkuu wa mkoa au wilaya, hivi tutamlaumuje yule wa kule ?
Duuuh hii sasa kaliii, Poler yao hao wahusikaa. Wawatajee waliowapa kazi hiyo. Sheria ipite nao woteee.Most ya wanaofanyiwaga mitihani huwa ni wale wanafunzi ambao wapo kazini/kwenye ajira.
Anachokuwa anakitaka yeye ni cheti chake cha degree tu au master yake au diploma yake ili apeleke ofisini asubirie barua yake ya kupandishwa cheo.
Na victim wa hii issue ni wanafunzi ambao hawana kazi wenzang na mie umetoka zako home una buku tu ya nauli na bado una usongo ule wa kusoma/ ujohn kisomo ukipewa kali 3 unaona bonge la hela unajitoa muhanga
Hii ni hatari sana, mtu anatamani aitwe msomi, kumbe boxWamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
Nashangaa hapo, ndo maana utendaji ni hafifu huko makazini kumbe wahusika hawana uelewa wala ufahamu wa kazi husika.Hii ni hatari sana, mtu anatamani aitwe msomi, kumbe box
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Prof. Elifas Bisanda ameliomba Jeshi la polisi kuwafikisha Mahakamani haraka iwezekenavyo watuhumiwa 17 waliokamatwa wakijaribu kuwafanyia mtihani wanafunzi mbalimbali chuoni hapo.
Prof. Bisanda ameyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa hao.
Profesa Bisanda amesema chuo kipo tayari kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ikiwemo vielelezo.
Video: Azam TV
Ndogo sana hiyo hapo ishu imebuma wapo kibao , wanafika hata 80% ni ujanja tu na wizi .Mbona hii namba ni kubwa sana
Hii ndio TanzaniaNdogo sana hiyo hapo ishu imebuma wapo kibao , wanafika hata 80% ni ujanja tu na wizi .
WanakuwaWamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah