Dar: Watuhumiwa 17 wakamatwa wakitaka kuwafanyia Mtihani Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria

Degree na masters fake za kibongo.
 
Duuuh hii sasa kaliii, Poler yao hao wahusikaa. Wawatajee waliowapa kazi hiyo. Sheria ipite nao woteee.
 
sio Mitihani tu hata practical za sayansi wanaenda kufanyiana unakuta mhusika yupo zake bukoba lakini anamtuma mtu aliye karibu DSM
 
Wamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
Hii ni hatari sana, mtu anatamani aitwe msomi, kumbe box
 
Hii ni hatari sana, mtu anatamani aitwe msomi, kumbe box
Nashangaa hapo, ndo maana utendaji ni hafifu huko makazini kumbe wahusika hawana uelewa wala ufahamu wa kazi husika.

Hii nchi aliyeiroga kafa, na alikotupia ndumba hapaonekani. Lol
 


Ndo maana tunawasomi ambao wapo empty kichwani.....
 
Tuacheni utani tuwe wa kweli maana tunakuwa huru kweny nafsi zetu .

Ishu za watu wanasoma kutokea kazi yaani wanajiendeleza huku wanafanyakazi ni mwiba tena utapeli mkubwa sana , unakuta mtu yupo ofisini mpaka jioni kila siku unamuona ila unakuja kusikia eti anagraduate Masters .

Tuacheni unafiki elimu ni rahisi sana haswa nchi zetu hizi ukiwa na pesa hizi masters na Phd unaokota tu , ni bora watu wapewe mda wa kwenda kusoma kama walimu ila wafanyakazi wa Taasisi ni mwiba mkubwa kuzorotesha elimu kwa kuendekeza uwizi ili wapate ufaulu .

Chuo HURIA wanjifunze zaidi kama wamekamata 17 basi 80% ya wanafunzi wa hapo haswa MASTERS wanafanyiwa mitihani ..Msters za mchongo ni nyingi sana kwa kweli .
 
Wamechomeshana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela inatafutwa kwa namna yoyote ile, hivi hao wanaofanyiwaga mitihani huwa wao hawana uwezo? Sasa chuo wanafanya nn? Khaaah
Wanakuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…