Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini

Jamaa wana ujinga sana...maji yapo, umeme upo, madawa ya kutibu maji yapo. ILA SASA: Maji Dar es salaam hayapatikanaji, yakitoka machafu. Huyo ilitakiwa atumbuliwe na acharazwe viboko 12 right on the spot. Hafu mbona kama alikuwa kanywa wanzuki!
 
Kuna mahali vingunguti Bomba limepasuka huu mwaka wa pili hakuna kilichofanywa.
Yanatoka TU.
Je, hapo ni kosa la serikali?
Pale ni kuweka joint tu mchezo umeisha.
Kuna mahali keko maji yalivunja kwa zaidi ya miaka 3 na kila siku watumishi wa DAWASA wanapita hapo kwenda na kutokea kazini.
Hawa watumishi na mabosi wao ni washenzi.
Kama unabisha nitafute nikuonyeshe linkages zinazotoa maji kwa zaidi ya miaka 2 hapa Dar. Ziko nyingi
 
Kuna utofauti gani kati ya ulichokiita 'masters na degree ya juu'?
 
Pole Sena mkuu naona ndugu Yako kibarua kimeota nyasi Sasa hasira unamalizia Kwa waziri tulishasema uchawa unamwisho haya jiandae kutafuta kazi ya kufanya hata kuuza genge
 
Ungejua jinsi mambo yanavyokuwa magumu katika utendaji kwakuwa serikali kuu Haina msaada, hii tengua teua Haina faida yoyote kwasababu si kiini Cha tatizo. Ni sawa na wewe tukuambie ukalime jangwani lazma ufeli ndo nchi yetu.
Mwambieni baba yenu kwamba kazi za kuteuliwa sio za moja kwa moja, akipigwa chini asiendekeze majungu, atafute kazi nyingine, kazi iendelee. Mnadhani angekaa hapo maisha yake yote..?
 
Sio ndugu yangu Wala simjui, ila nimeona Kwa habari, nachukia uonevu , unadeal na watu badala ya kudeal na tatizo. Niliona Kwa Millard Ayo hii habari
Huwezi kuchukia kutumbuliwa kwa mtu mzembe ambaye anakubali kufanya kazi sehemu ambayo ni mji mkubwa kama Dsm na maji yanashindwa kutoka na yeye comfortably yupo tu ofisini. Huo utakuwa upumbavu, atulie benchi aone wenzake kazi watakayofanya.
 
Ungejua jinsi mambo yanavyokuwa magumu katika utendaji kwakuwa serikali kuu Haina msaada, hii tengua teua Haina faida yoyote kwasababu si kiini Cha tatizo. Ni sawa na wewe tukuambie ukalime jangwani lazma ufeli ndo nchi yetu.
Sasa wewe na masters yako umeshindwa kufanya ubunifu wananchi wapate maji, umekaa ofisini unapiga mshahara wako mrefu.
Urefu wa mshahara wako uendane na huduma nzuri kwa wananchi.
 
Sasa wewe na masters yako umeshindwa kufanya ubunifu wananchi wapate maji, umekaa ofisini unapiga mshahara wako mrefu.
Urefu wa mshahara wako uendane na huduma nzuri kwa wananchi.
Hii nchi tatizo ni serikali iliyopo madarakani
 
Na imesaidia sana, tatizo la maji jijini limebaki historia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…