Dar yakusanya Tsh. Trilioni 13 kati ya 16.5 zilizokusanywa na TRA. Ni aibu kwa Tanzania kutegemea 80% ya Mapato kutoka Mkoa mmoja

Tunaomba takwimu za mikoa mingne pia tuone n wapi pa kwenda kutaftia riziki mbali na dar...hatuezi kujirundika dar wote kisa kuna mzunguko wa pesa, uo ni ujinga. Hii mada n ngumu sana
 
Dar Es Salaam ndo Tanzania, ni Jiji muhimu Kwa Uchumi wa nchi
 
alafu mikoani ambayo ina makada wengi na wanachama wanaobubujikwa na machozi kwa ccm ndio wavivu kupindukia,kuna haja ya CCM kutoa mitaji na elimu ya ujasiriamali kwa wanachama wake.
 
alafu mikoani ambayo ina makada wengi na wanachama wanaobubujikwa na machozi kwa ccm ndio wavivu kupindukia,kuna haja ya CCM kutoa mitaji na elimu ya ujasiriamali kwa wanachama wake.
Has nothing to do with uvivu,kwani wewe wa hapo Dar imefanya efforts ipi ya kujenga viwanja, Bandari nk?
 
Uchumi umesoma wapi ...ulipata supp eeh?? GDP sio hela ni kitu gani
 
Hata USA pamoja na utajiri wao mkubwa GDP yao almost 35% inatoka California, Texas na NY states zingine 47 wanachangia 65% tu ni kawaida na sababu zipo kwanini.
Acha uongo
 
Kwani hayo matrioni ya pesa huwa yanaenda wapi ? C.A.G. kila mwaka ana baini madudu na upotevu wa hizo pesa. je,serikali huwa inawafanya nini hao waliotafuna hizo trioni? mnataka mikoa mingine iongeze mapato ili ziende kwenye matumbo ya wachache? bora hali iendelee kuwa hivi hivi.
 
Acha uongo
With last December's release of GDP numbers by the Bureau of Economic Analysis (BEA), the top five states – which contribute 41% of the total U.S. GDP in 2022 – were California, Texas, New York, Florida, and Illinois, in that order. Figure 1 shows the real GDP for these states in trillions of dollars. Size matters

Sijui kama utaelewa ila acha uvizu soma sio kukurupuka tu, ikiwa states 5 tu zinachangia 41% hiyo 59% gawa kwa states 45 au hesabu ngumu tukusaidie.
 
Sasa mada ni GDP au mapato ya kodi ...maana alicholeta mtoa uzi ni mapato ya kodi sio GDP ...sio ajabu kwa nchi kuwa na GDP kubwa kwenye eneo moja kuliko mengine ila ni ajabu kwa nchi kuwa na collection ya mapato kubwa eneo moja kuliko mikoa mingine
 
Tunategemea Dsm iboreshwe zaidi kuendana na uchumi wake, hasa Miundombinu yake hasa road etc, ili isaidie kukuza uzalishaji zaidi!
 
Uchumi umesoma wapi ...ulipata supp eeh?? GDP sio hela ni kitu gani
Jinga kweli,kama GDP ni hela Mwanza ingekuwa namba 2 Kwa kuchangia pesa nyingi ,badala yake inazidiwa Hadi na Songwe 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…