Daraja la Kigongo-Busisi laelekea kukamilika

Daraja la Kigongo-Busisi laelekea kukamilika

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Mkuu wewe ni muongo Kwa kusema daraja lipo jijini Mwanza. Hili daraja lipo wilaya ya Misungwi na siyo jijini Mwanza.
 
Msaliti wa taifa Lisu asiruhusiwe kupita hapo,
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi

Hii post imekaa kama kijembe kwa mtu
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Hivi kuna Rais yeyote duniani anaweza kumpiku Magufuli kwa kupachika jina lake kwenye mali za Taifa ?
 
Kulikuwa wa mradi wa mwendokasi kutokea morocco kwenda mwenge aliuanzisha magufuli,alipofariki tu hiyo Barabara ikasimama hadi leo.mradi wa REA(umeme vijijini)umekufa toka afariki magufuli,mradi wa barabara kutoka mbezi(stendi kuu) kwenda mpigi magoe ulianza mwishoni kipindi stendi kuu inazinduliwa lakini alipofariki tu mradi huo ukafa na miradi mingine mingi tu zaidi ya 30imesimama toka mother aanze awamu yake
 
Hivi kuna Rais yeyote duniani anaweza kumpiku Magufuli kwa kupachika jina lake kwenye mali za Taifa ?
Acha kumpakazia Magufuli (rip). Kwa taarifa yako:
Walitaka tanzanite bridge iitwe jina lake, akakataa.
Hiyo JPM bridge iliitwa na Majaliwa akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi, siyo Magufuli kama unavyotaka kujitoa ufahamu.
 
Mkuu wewe ni muongo Kwa kusema daraja lipo jijini Mwanza. Hili daraja lipo wilaya ya Misungwi na siyo jijini Mwanza.
Kwani wilaya ya Misungwi haipo Mwanza mzee wengine Misungwi hawapajui kwaiyo ukisema Mwanza inaeleweka na kile kivuko kinaitwa Busisi kwaiyo hapo imeeleweka sana na mimi nimepita pale mala nyingi sana
 
Back
Top Bottom