Daraja la Kigongo-Busisi laelekea kukamilika

Daraja la Kigongo-Busisi laelekea kukamilika

Msaliti wa taifa Lisu asiruhusiwe kupita hapo,
Lazima aruhusiwe maana hii nchi ni huru na Rais Samia Suluhu anajenga Tanzania mpya kwaiyo kila mtanzania anahaki na uhuru wa kufanya chochote na kwenda popote pasipo kuvunja sheria na katiba ya nchi
 
Kulikuwa wa mradi wa mwendokasi kutokea morocco kwenda mwenge aliuanzisha magufuli,alipofariki tu hiyo Barabara ikasimama hadi leo.mradi wa REA(umeme vijijini)umekufa toka afariki magufuli,mradi wa barabara kutoka mbezi(stendi kuu) kwenda mpigi magoe ulianza mwishoni kipindi stendi kuu inazinduliwa lakini alipofariki tu mradi huo ukafa na miradi mingine mingi tu zaidi ya 30imesimama toka mother aanze awamu yake
Miradi yote itakamilishwa mzee tulia Rais Samia Suluhu aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Wewe utakuwa na tatizo la afya ya akili. Daraja hata halieleweki ujenzi unaendelea au umesimama
 
Wewe utakuwa na tatizo la afya ya akili. Daraja hata halieleweki ujenzi unaendelea au umesimama
Halikuwa ivi mzee
FkGJP7YXoAMR5v5.jpg
 
Kulikuwa wa mradi wa mwendokasi kutokea morocco kwenda mwenge aliuanzisha magufuli,alipofariki tu hiyo Barabara ikasimama hadi leo.mradi wa REA(umeme vijijini)umekufa toka afariki magufuli,mradi wa barabara kutoka mbezi(stendi kuu) kwenda mpigi magoe ulianza mwishoni kipindi stendi kuu inazinduliwa lakini alipofariki tu mradi huo ukafa na miradi mingine mingi tu zaidi ya 30imesimama toka mother aanze awamu yake
We unaota, kaamke
 
Mkuu wewe ni muongo Kwa kusema daraja lipo jijini Mwanza. Hili daraja lipo wilaya ya Misungwi na siyo jijini Mwanza.
Sasa so afadhali ya uongo wa Eneo kuliko huo wa muda wa daraja kuisha!
Wiki iliyopita tu wakandarasi(CCCEC) Waliomba kuongezewa muda wa ujenzi toka mwanzoni mwa 2024 mpaka mwishoni
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Huna akili wewe dogo,mimi naishi busisi,unazijua stage za hilo daraja au unaropoka tu?
 
Maza yupo huko anatutafutia wanawe wawekezaji.
 
Hakuna mbwa yoyote wa kumzuia, hata yule kichaa agekuwa bado kitini asingeweza kumzuia
Punguza makasiliko Rais Samia Suluhu amerejesha democrasia na ndio maana unaona hata sasa wapo huru kuongea
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi

Umesahau, wapiga propaganda wenzako walikuwa wanasema Magufuli aliliacha hilo daraja likiwa zaidi ya 70%. Sasa ww umesahau unasema liko 60%! Jipangeni mje na uongo upi.
 
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi

Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.

Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Mhhh makubwa
 
Daraja la Kigongo Busisi tumesikia, je Jengo la uwanja wa ndege la abiria Mwanza ndiyo hivyo tena halisikiki!
 
Kuendelea na hii miradi Mama anajitahidi.
 
Back
Top Bottom