Lazima aruhusiwe maana hii nchi ni huru na Rais Samia Suluhu anajenga Tanzania mpya kwaiyo kila mtanzania anahaki na uhuru wa kufanya chochote na kwenda popote pasipo kuvunja sheria na katiba ya nchiMsaliti wa taifa Lisu asiruhusiwe kupita hapo,
Miradi yote itakamilishwa mzee tulia Rais Samia Suluhu aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wakeKulikuwa wa mradi wa mwendokasi kutokea morocco kwenda mwenge aliuanzisha magufuli,alipofariki tu hiyo Barabara ikasimama hadi leo.mradi wa REA(umeme vijijini)umekufa toka afariki magufuli,mradi wa barabara kutoka mbezi(stendi kuu) kwenda mpigi magoe ulianza mwishoni kipindi stendi kuu inazinduliwa lakini alipofariki tu mradi huo ukafa na miradi mingine mingi tu zaidi ya 30imesimama toka mother aanze awamu yake
Wewe utakuwa na tatizo la afya ya akili. Daraja hata halieleweki ujenzi unaendelea au umesimamaRais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi
Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Halikuwa ivi mzeeWewe utakuwa na tatizo la afya ya akili. Daraja hata halieleweki ujenzi unaendelea au umesimama
Mwamba alikuwa njema sana kwenye miradiHalikuwa ivi mzee
View attachment 2449981
We unaota, kaamkeKulikuwa wa mradi wa mwendokasi kutokea morocco kwenda mwenge aliuanzisha magufuli,alipofariki tu hiyo Barabara ikasimama hadi leo.mradi wa REA(umeme vijijini)umekufa toka afariki magufuli,mradi wa barabara kutoka mbezi(stendi kuu) kwenda mpigi magoe ulianza mwishoni kipindi stendi kuu inazinduliwa lakini alipofariki tu mradi huo ukafa na miradi mingine mingi tu zaidi ya 30imesimama toka mother aanze awamu yake
Halafu ushawahi kuona wapi Rais wa nchi mlemavu wa viungo kama miguu? Huyo Lisu ni mfa maji tu!Mtu atoke kwa mabeberu aje kutaka kuwa rais wa Tanzania? Nani amchague
Sasa so afadhali ya uongo wa Eneo kuliko huo wa muda wa daraja kuisha!Mkuu wewe ni muongo Kwa kusema daraja lipo jijini Mwanza. Hili daraja lipo wilaya ya Misungwi na siyo jijini Mwanza.
Huna akili wewe dogo,mimi naishi busisi,unazijua stage za hilo daraja au unaropoka tu?Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi
Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Vipi kuhusu lile Bwawa la umeme?
Hakuna mbwa yoyote wa kumzuia, hata yule kichaa agekuwa bado kitini asingeweza kumzuiaMsaliti wa taifa Lisu asiruhusiwe kupita hapo,
Punguza makasiliko Rais Samia Suluhu amerejesha democrasia na ndio maana unaona hata sasa wapo huru kuongeaHakuna mbwa yoyote wa kumzuia, hata yule kichaa agekuwa bado kitini asingeweza kumzuia
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi
Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Mhhh makubwaRais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliahidi kukamilisha miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake, kuna watu walisema kwamba miradi imesimama lakini Rais Samia Suluhu alisema miradi yote inaendelea na hakuna mradi uliosimama sisi wenyewe ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea na moja ya mradi mkubwa uliachwa na Magufuli ni daraja kubwa la Kigongo-Busisi
Ujenzi wa Daraja la John Pombe Magufuli la (Kigongo-Busisi) umefikia asilimia 60.1, Daraja hilo lililopo jijini Mwanza, limebakisha 39.9% kabla ya kuanza kutumika rasmi kwa matumizi ya kila siku.
Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi katika kukamilisha miradi
Na wewe utakuwa umbwa tu bila ya shaka yoyotePunguza makasiliko Rais Samia Suluhu amerejesha democrasia na ndio maana unaona hata sasa wapo huru kuongea
Labda alimaanisha lile lililo jirani na The Rock City Mall! Ahahahahah!!!Mkuu wewe ni muongo Kwa kusema daraja lipo jijini Mwanza. Hili daraja lipo wilaya ya Misungwi na siyo jijini Mwanza.