Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahhaaha ,mimi saa nane usiku nilikutana na jamaaa ako na prado TX na yeye kapiga shimo zake kadhaa hapo kapasua tairi mbili, ana wheel spana mbovu, hana kile chuma cha kufungulia tairi chini kule, hana spare tairi. nikamsaidia kufungua nikamuachaJuzi kati nimemkuta jamaa alijiachia na Vw yake akapiga shimo zake mbili,, rimu tatu zikapinda,
Nikawa namuonea tu huruma, rimu tatu halafu gari ya kijerumani anapata wapi nangurukuru, ailikuwa na very long breakdown porini.