passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Kwa sababu putin ameombwa asimuue zelisky na viongozi waisrael.Mbona kila siku yupo angani anasafiri na hakuna mlilomfanya?
Ni mjinga tu anayeza kufikiri kuna kitu Ukraine itafanya ili urusi asitimize malengo yake na urusi ataendelea kuchukua mpaka Odessa na Ukraine hataweza kumzuia.Ukraine aombe apewe silaha yenye mlipuko !wenye nguvu za kutosha, hili daraja linapaswa kuvunjwa kabisa na siyo kuharibiwa kidogo. Yule mnywa gongo ( Dymitri Peskov)alisema hili daraja likiguswa itakuwa "judgement day" ila Ukraine inajipigia tu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Dymitri Peskovu anakunywa matapu tapu. Muda wote sura yake Kama kanywa gongo na mapuyaUkraine aombe apewe silaha yenye mlipuko !wenye nguvu za kutosha, hili daraja linapaswa kuvunjwa kabisa na siyo kuharibiwa kidogo. Yule mnywa gongo ( Dymitri Peskov)alisema hili daraja likiguswa itakuwa "judgement day" ila Ukraine inajipigia tu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Waisrael wa mkuranga au mbagala kipatiKwa sababu putin ameombwa asimuue zelisky na viongozi waisrael.
HaujafuatiliaWaisrael wa mkuranga au mbagala kipati
Waisrael wa mkuranga au mbagala kipati
Unaona unachokiandika hujitambuiDymitri Peskovu anakunywa matapu tapu. Muda wote sura yake Kama kanywa gongo na mapuya
Una ujinga mwingi sana.Ni mjinga tu anayeza kufikiri kuna kitu Ukraine itafanya ili urusi asitimize malengo yake na urusi ataendelea kuchukua mpaka Odessa na Ukraine hataweza kumzuia.
Mpaka leo wajinga hawajakubali kuwa Ukraine hana uwezo wa kuifanya chochote urusi na hawana uwezo wa kushinda isingekuwa msaada wa nchi zaidi ya 30 Ukraine angekuwa ameshashindwa na hizo nchi hazitaweza kuzuia ushindi wa warusi.
Kushinda na kuchukua Ukraine yote ndio malengo ya Putin,lakini kwa bahati mbaya imeshindikana na hataweza kushinda kabisa.Mpaka leo wajinga hawajakubali kuwa Ukraine hana uwezo wa kuifanya chochote urusi na hawana uwezo wa kushinda isingekuwa msaada wa nchi zaidi ya 30 Ukraine angekuwa ameshashindwa na hizo nchi hazitaweza kuzuia ushindi wa warusi.
pro Putin hawapendi habari zenye mafanikio ya Kyiv, vumilia tu putin alienda mwenyeweHizi habari zako uwe unasimuliana na wanawake wenzio wakija kusuka saloon kwako
Nani kakuambia hilo lengo?lengo la putin ilikuwa kuwaokoa warusi kwenye mikoa yaliyokuwa ya Ukraine na ameweza kuyachukua yale mikoa na sasa hivi Ukraine wanawatamanisha wachukue Odessa piaKushinda na kuchukua Ukraine yote ndio malengo ya Putin,lakini kwa bahati mbaya imeshindikana na hataweza kushinda kabisa.
Haijawasaidia Ukraine kwenye uwanja wa vitaDrone zimesafiri KM 600 hadi daraja lilipo, kisha BOOOOOOOOOOM
Tuambie hayo malengo wewe umeyajuaje?Kushinda na kuchukua Ukraine yote ndio malengo ya Putin,lakini kwa bahati mbaya imeshindikana na hataweza kushinda kabisa.
Sio inamtokea puani , inamtokea mkunduni mkuu.Hii vita imeshakuwa nightmare kwa Putin.Yeye alichukulia ingekuwa rahisi naona inamtokea puani[emoji848]
Na wewe tuambie umeyajuajeTuambie hayo malengo wewe umeyajuaje?
Putin alianza kwa kumpa zelensky masaa 24 na majeshi kujisalimisha mpaka sasa kuomba yaishe lakini amwachie cremea na mikoa 4,lakini wapi Ukraine anazidi kumpelekea moto tu.Nani kakuambia hilo lengo?lengo la putin ilikuwa kuwaokoa warusi kwenye mikoa yaliyokuwa ya Ukraine na ameweza kuyachukua yale mikoa na sasa hivi Ukraine wanawatamanisha wachukue Odessa pia