myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hakufanya hesabu sahihi..Hii vita imeshakuwa nightmare kwa Putin.Yeye alichukulia ingekuwa rahisi naona inamtokea puaniš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakufanya hesabu sahihi..Hii vita imeshakuwa nightmare kwa Putin.Yeye alichukulia ingekuwa rahisi naona inamtokea puaniš¤
Limepunguza magari yaliyokuwa yanaleta silahaHaijawasaidia Ukraine kwenye uwanja wa vita
Siku ukiona hiyo habari fanya maombi yote unayojua na toba unayojua maana ni kiama kimefika..Kuna siku tutaamka na habari isemayo..
MAKAZI YA PUTINI YASHAMBULIWA
Hujui ni kwanini wale supapawa wa west hawapeleki pua zao urusi...kama hujui basi ndio maana huoni ng'ombe mmoja anavyobonda ng'ombe 30+Unayempuuza ndiye....
Unayefikiri siye...
Ng'ombe mkubwa hupigwa na mdogo kwa utani
Yaani ikulu iliyopo peupe washindwe ila NATO command center iliyo chini futi 400 ikapigwa, mitambo inayolinda ikulu ikapigwa....una shida kwe ye kufikiria mkuu..Usiwasemee wameshambulia hadi shule na hospital, ikulu wameshindwa tu
Unakumbuka kipondo walichopewa mara ya kwanza kulilipua? Sasa tarajia zaidiHii daraja muhimu sana kwa Urusi, ndio limeunganisha Urusi na Crimea.....
Urusi iligharamikia sana kutengeneza na kurekebisha hili daraja, yaani kulipiga ni kama umepiga moyo wa Putin...
Kyivās navy and Ukraineās security service (SBU) carried out a āspecial operationā using seaborne drones, an SBU source has told AFP.
Waterborne drones struck the sole bridge connecting Russia to the annexed Crimea peninsula on Monday, a major conduit for Russiaās troops in Ukraine, in a deadly attack which is said to have killed a civilian couple and injured their daughter.
The explosion hit the Kerch Bridge just hours before a crucial deal to export Ukrainian grain was to expire. There has not yet been word from talks in Istanbul, where Turkish and UN officials were trying to persuade Russia to agree another extension of the deal that was first signed there in July 2022.
![]()
Putin says Russia preparing response to Crimea bridge attack; US condemns Moscow grain deal exit ā as it happened
Russian president calls attack ācruel and senselessā after Kerch Bridge hit by latest strike; Antony Blinken says Russia exit from deal āunconscionableāwww.theguardian.com
Ushuzi mtupuKwa sababu putin ameombwa asimuue zelisky na viongozi waisrael.
Nilisha mwambia tangu jana kwamba hasiwe anatuletea habari zake za udaku - tatizo hapa huyu jamaa ni bubu na kiziwi - mtu utategemea nini cha maana kutoka kwakwe zaidi ya majungu tu na kuupiga mwingi.Hizi habari zako uwe unasimuliana na wanawake wenzio wakija kusuka saloon kwako
Majisemea tu, hivi mna habari inachukua dakika ngapi kombora la Urusi kurivirumishwa na kuichakaza Ikulu ya Merikani au mmesahau jinsi concrete bunker chini ya futi nane chini ya aridhi ilivyo kuwa nyanga nyanga na majenerali wakatolewa pumuzi fasta - kama unafikiri White House ni mbali sana haiwezi kufikiwa na lightening fast Russian hypersonic missiles in minutes from Russia you better think again.
Sio mimi niliyesema hayo bali ni wachambuzi ambao wanafuatilia!Nimesikia hilo pia Aljazeera leo!Vingine ukitumia akili tu ya kawaida utapata majibu, yani awekewa vikwazo kwenye agro business hasa soko la Ulaya afu Ulaya faida izidi? hebu tuambie hilo soko jipya linalozidi la Ulaya?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ndio msubiri SMO iishe,mje mseme hizo silaha alizonazo ni zipi?Kwa sasa Ukraine ana silaha hatari zaidi ya alizokuwa nazo kabla ya vita.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kuna wakati mnajichosha kuwajibu wachovu.Mpaka leo wajinga hawajakubali kuwa Ukraine hana uwezo wa kuifanya chochote urusi na hawana uwezo wa kushinda isingekuwa msaada wa nchi zaidi ya 30 Ukraine angekuwa ameshashindwa na hizo nchi hazitaweza kuzuia ushindi wa warusi.
Sidhan kama hyo nadharia ni kweli, kwasababu hajashindwa kufanya hivo, Ukrain ndio iliyokua fance yake dhidi ya NATO, sasa pilikapilika za NATO kupush nchi jiran ziwe NATO member ile kuendelea kuibinya Urus ibomoke zikapelekea Urusi iwe na plan B ya makubaliano kuwa yale majimbo yanayokaliwa na raia wenye asili ya Urusi ambayo ni Donbas region yawe majimbo huru yanayojitawala, hapo yanakaa kama kinga ya Urus dhidi ya nchi za NATO hata km Ukrain ikijiunga basi kupata madhara kwake inakua sio rahisi..Putin matamanio yake siku zote ni Zenensky kupelekwa jongomeo na Kyv kuchukuliwa na Moscow.Lakini ndio mpaka Sasa ameshindwa na hajui afanye nini![emoji848]
Sema kwelii[emoji16][emoji16][emoji16]Ukraine aombe apewe silaha yenye mlipuko !wenye nguvu za kutosha, hili daraja linapaswa kuvunjwa kabisa na siyo kuharibiwa kidogo. Yule mnywa gongo ( Dymitri Peskov)alisema hili daraja likiguswa itakuwa "judgement day" ila Ukraine inajipigia tu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wayahudi unaowaskia wewe kwenye vyombo vya habari, "nina uhakika asilimia 100 hujawahi hata kuwaona wayahudi wewe"Waisrael wa mkuranga au mbagala kipati
Akiichukua Ukrain nzima atakua amepakana na NATO, kitu ambacho Urusi inakikataa, na ndio sababu ya vita hii kupiganwa baada ya Ukrain kugoma kuziacha huru Donbas iwe kama mlinzi dhidi ya mipaka ya Urusi...Kushinda na kuchukua Ukraine yote ndio malengo ya Putin,lakini kwa bahati mbaya imeshindikana na hataweza kushinda kabisa.
Kerch Bridge imepigwa vibaya sana, Putin yuko anatoa povu na Urusi tayari wameamua kuvuruga biashara ya ngano katika bahari nyeusi ili nyie masikini na ndugu zenu wengine walio katika migogoro na majanga mfe njaa. Endelea kubaki kwenye chungu.Nilisha mwambia tangu jana kwamba hasiwe anatuletea habari zake za udaku - tatizo hapa huyu jamaa ni bubu na kiziwi - mtu utategemea nini cha maana kutoka kwakwe zaidi ya majungu tu na kuupiga mwingi.