F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
Ngoja wamalize uchunguzi wakijiridhisha ni ugaidi ndio utaona kitakachofuataUnataka tujadiliane nini ambacho nikipya kwenye hiyo vita aliyoianzisha Putini?
Yeye anayoyafanya Ukraine toka mwanzo wa vita ni uharibifu wa kila aina ikiwemo miundo mbinu.
Kwanini Yeye akinyukuliwa kidogo anasema ni ugaidi aliofanyiwa?