Daraja la Ukraine lashambuliwa tena na drones za Ukraine

Daraja la Ukraine lashambuliwa tena na drones za Ukraine

Unakumbuka kipondo walichopewa mara ya kwanza kulilipua? Sasa tarajia zaidi
Lakni tuna mahaba mabovu sana hivi tunaona kwamba yeye putin hana uwezo wa kushambuliwa?

Ameshambulia mara ngapi huko Ukraine hadi sasa? Miundo mbinu ameiharibu sana yeye akinyukuliwa kidogo tunamtukuza kana kwamba ni kila kitu.
 
Kuna nini jipya, Mrusi alishaishiwa kete, hamna aina ya kombora hajajaribu kutuma Kyiv na zimepanguliwa zote, amebakia na manyuklia ambayo yenyewe ni midoli maana siku akishambulia kwa nyuklia ndio atafutwa duniani.
Kama kaishiwa waambie NATO waingie in full maana kila sapoti wanatoa n leopard 2 zimeshindwa kuleta matokeo saivi tunasubiri F.16s zikapopolewe na s200 tu, let alone kuna s300,400 na 500 Russia anatumia silaha za kale akitunza mpya kwa ajili ya NATO one man army vs Ulaya Magharibi na North American , Australia, Japan, S Korea na anawakalisha 💪🏻💪🏻💪🏻
 
Lakni tuna mahaba mabovu sana hivi tunaona kwamba yeye putin hana uwezo wa kushambuliwa?

Ameshambulia mara ngapi huko Ukraine hadi sasa? Miundo mbinu ameiharibu sana yeye akinyukuliwa kidogo tunamtukuza kana kwamba ni kila kitu.
Unakumbuka kilichotokea waliposhambulia hilo daraja au ndio tunaanza upya kuambiana.

Kama huna kumbukumbu au hujui kilichotokea kagugo au waulize wenzako ndio uje tujadiliane
 
Kama kaishiwa waambie NATO waingie in full maana kila sapoti wanatoa n leopard 2 zimeahindwa kuleta matokeo saivi tunasubiri F.16s zikapopolewe na s200 tu, let alone kuna s300,400 na 500 Russia anatumia silaha za kale akitunza mpya kwa ajili ya NATO one vs Ulaya Magharibi na North American , Australia, Japan, S Korea na anawakalisha 💪🏻💪🏻💪🏻

kwa kweli tulisubiri sana afumue hako kainchi ka-Ukraine, kamemlezama hadi naumwa kwa raha, mimi mwanzoni niliingiwa hofu sana nilipoona msafara unakwenda Kyiv, ila ulivyofumuliwa na wabeba javelin, hehehe huwa nacheka sana kila nikikumbuka.
 
kwa kweli tulisubiri sana afumue hako kainchi ka-Ukraine, kamemlezama hadi naumwa kwa raha, mimi mwanzoni niliingiwa hofu sana nilipoona msafara unakwenda Kyiv, ila ulivyofumuliwa na wabeba javelin, hehehe huwa nacheka sana kila nikikumbuka.
Ile ilikia trick ya kuwavuta wanazi waliokuwa wamekazana kuweka kambi Kherson...na kweli wakarudi Kyv mbiombio..kilichotokea Kherson unakijua vizuri..Putin sio Zelensky
 
Imekuwa kaa la moto si atatokaje tokaje
Atoke aende wapi? Pale ndio katia mguu..ni kama wewe uende kununua kiwanja mahali...unakiacha unaondoka au unaanza ujenzi? Kuna apparments anajenga na zingine anafanyia renovation ndani ya miji aliyoshikilia..hujiulizi tuu anajenga hizo appartments kwa sababu gani? Kiwanja ni chake kwa sasa na ana hati zote, kuanzia serikali ya mitaa hadi wizara ya ardhi pale ukrain..
 
kwa kweli tulisubiri sana afumue hako kainchi ka-Ukraine, kamemlezama hadi naumwa kwa raha, mimi mwanzoni niliingiwa hofu sana nilipoona msafara unakwenda Kyiv, ila ulivyofumuliwa na wabeba javelin, hehehe huwa nacheka sana kila nikikumbuka.

kwa kweli tulisubiri sana afumue hako kainchi ka-Ukraine, kamemlezama hadi naumwa kwa raha, mimi mwanzoni niliingiwa hofu sana nilipoona msafara unakwenda Kyiv, ila ulivyofumuliwa na wabeba javelin, hehehe huwa nacheka sana kila nikikumbuka.
Bado mnasumbuliwa na Wargner tu Russia Army haijaja bado vitani
 
Putin Mdebwedo tu kama Mzenji watu wana jipigia tu wanavo taka mbele nyuma kati kati kusin magharibu yaan ni tafran putukushani

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na kulipuliwa Kwa daraja, Putin amesusa kusambaza ngano
Mytake:Kama Putin anatumia daraja kupitisha silaha ili kushambulia Ukraine kwanini lisilengwe?
+
++Ikulu ya Urusi Kremlin imesema hii leo kuwa inajiondoa kwenye makubaliano ya usafirishaji nafaka za Ukraine kupitia Bahari Nyeusi, saa chache baada ya ndege zisizo na rubani kushambulia daraja la Kerch ambalo ndilo pekee linaloiunganisha Urusi na Rasi ya Crimea. Makubaliano hayo muhimu ambayo kwa mwaka jana pekee yalisaidia kusafirishwa kwa shehena ya tani milioni 32 za nafaka, yalifikiwa ili kupunguza hofu ya uhaba wa chakula duniani hasa katika nchi zilizo hatarini zaidi. Ni zipi athari za uamuzi huu hususan kwa mataifa ya Afrika?

+++Umoja wa Ulaya hii leo umekutana na viongozi wa Amerika ya Kusini na visiwa vya Karibiki, huku wakiwa na matumaini ya kurejesha upya uhusiano ulioingia doa kufuatia mgawanyiko mkubwa juu ya biashara na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Kwenye mazungumzo yao, Umoja wa Ulaya umeashiria kufanya uwekezaji mkubwa kwenye mataifa ya kanda hizo kwenye miradi mbalimbali.

Source: DW Kiswahili
Marekani na wadau wengine kuisaidia Ukraine kusafirisha ngano yake baada ya Urusi kujitoa .
.....
 
Unakumbuka kilichotokea waliposhambulia hilo daraja au ndio tunaanza upya kuambiana.

Kama huna kumbukumbu au hujui kilichotokea kagugo au waulize wenzako ndio uje tujadiliane
Unataka tujadiliane nini ambacho nikipya kwenye hiyo vita aliyoianzisha Putini?

Yeye anayoyafanya Ukraine toka mwanzo wa vita ni uharibifu wa kila aina ikiwemo miundo mbinu.
Kwanini Yeye akinyukuliwa kidogo anasema ni ugaidi aliofanyiwa?
 
Miaka miwili sasa mnaandika andika tangu mumuagize Zelensky aihame Ukraine kwa masaa 24.....hehehe takbir
Huo ni ugonjwa serious,nenda kwa daktari wa saikolojia kabla hali haijawa mbaya zaidi!
 
Back
Top Bottom