Daraja la Ukraine lashambuliwa tena na drones za Ukraine

Daraja la Ukraine lashambuliwa tena na drones za Ukraine

Itawapa sababu ya urusi kushambuliwa maeneo nyeti kama bunge,ikulu au maofisi mbalimbali kitu ambacho urusi hataki hafike huko.
Umenikumbusha shule ya msingi kuna vijamaa vilikuwa vinajidai vibabe na mbwembwe nyingi wakati vinapigana na wenzao, vikiona hali ngumu vinapiga kelele vishikwe visijee kumuumiza mtu.
 
Russia hashindwi kushambulia popote ni mjinga tu anayefikiri urusi anaweza kushindwa kushambulia popote ila kuna sheria za vita
Hakuna sheria ya vita ambayo Urusi haijaukiuka mpaka sasa. Kutoshambulia Ikulu, bunge au ofisi za serikali sio mojawapo ya sheria za vita.
 
Kerch Bridge imepigwa vibaya sana, Putin yuko anatoa povu na Urusi tayari wameamua kuvuruga biashara ya ngano katika bahari nyeusi ili nyie masikini na ndugu zenu wengine walio katika migogoro na majanga mfe njaa. Endelea kubaki kwenye chungu.
Moja ya condition za Urusi ni kuwa kiasi kikubwa cha grain kiende kwa nchi masikini!
Endelea kuishi kwenye dunia ya peke yako!
 
Hakuna sheria ya vita ambayo Urusi haijaukiuka mpaka sasa. Kutoshambulia Ikulu, bunge au ofisi za serikali sio mojawapo ya sheria za vita.
Inaonekana unazijua sheria zote za vita!Kama amekiuka zote kama usemavyo,ametumia biological weapons?Nuclear weapons?
Au mnaandika tu vitu kujifurahisha?
 
Haijawasaidia Ukraine kwenye uwanja wa vita
Hujui Crimea ,Urusi ina kambi za kijeshi (Russian Navy base,main base of black sea fleet)vikosi ambavyo hupambana na Ukraine?Hilo daraja ni kiungo muhimu Sana Kwa Urusi kusafirisha silaha na wanajeshi kwenda uwanja wa mapambano.Russia baada ya kuona Meli zake ni hatarini kushambuliwa na drones za Ukraine za majini,Sasa wanatumia Hilo daraja kusafirisha silaha!
 
Hii daraja muhimu sana kwa Urusi, ndio limeunganisha Urusi na Crimea.....
Urusi iligharamikia sana kutengeneza na kurekebisha hili daraja, yaani kulipiga ni kama umepiga moyo wa Putin...

Kyiv’s navy and Ukraine’s security service (SBU) carried out a “special operation” using seaborne drones, an SBU source has told AFP.

Waterborne drones struck the sole bridge connecting Russia to the annexed Crimea peninsula on Monday, a major conduit for Russia’s troops in Ukraine, in a deadly attack which is said to have killed a civilian couple and injured their daughter.

The explosion hit the Kerch Bridge just hours before a crucial deal to export Ukrainian grain was to expire. There has not yet been word from talks in Istanbul, where Turkish and UN officials were trying to persuade Russia to agree another extension of the deal that was first signed there in July 2022.
Nafaka hazisafirishwi,ukimwaga ugali wenzako wanamwaga mboga,

Mtajua hamjui
 
Unakumbuka kipondo walichopewa mara ya kwanza kulilipua? Sasa tarajia zaidi

Kuna nini jipya, Mrusi alishaishiwa kete, hamna aina ya kombora hajajaribu kutuma Kyiv na zimepanguliwa zote, amebakia na manyuklia ambayo yenyewe ni midoli maana siku akishambulia kwa nyuklia ndio atafutwa duniani.
 
Nafaka hazisafirishwi,ukimwaga ugali wenzako wanamwaga mboga,

Mtajua hamjui

Hehehe siamini supapawa amehamia kwenye nafaka, yaani ina maana kashindwa kabisa mapambano.
 
Kuna nini jipya, Mrusi alishaishiwa kete, hamna aina ya kombora hajajaribu kutuma Kyiv na zimepanguliwa zote, amebakia na manyuklia ambayo yenyewe ni midoli maana siku akishambulia kwa nyuklia ndio atafutwa duniani.
Subiri kilio upande wa pili,walioko Ukraine hawawezi kusema hakuna jipya kama wewe Nato wa Banyokwa!
 
Hehehe siamini supapawa amehamia kwenye nafaka, yaani ina maana kashindwa kabisa mapambano.
Kwenye kujifariji na kujizima data kwakeli mnajitahidi sana!
Kuna ugonjwa fulani(nimeusahau jina),mtu hata kuukubali/kuusikia ukweli ili aendelee kuishi kwenye nadharia ya kufikirika aliyojitengenezea!
Kuna watu humu jamvini mna hizo dalili,kajaribuni check up kabla tatizo halijawa worse!
 
Kwenye kujifariji na kujizima data kwakeli mnajitahidi sana!
Kuna ugonjwa fulani(nimeusahau jina),mtu hata kuukubali/kuusikia ukweli ili aendelee kuishi kwenye nadharia ya kufikirika aliyojitengenezea!
Kuna watu humu jamvini mna hizo dalili,kajaribuni check up kabla tatizo halijawa worse!

Mpaka ukaandika paragraph, kweli mnaumia ila ndio hivyo sheikh mlichagua mtume dhaifu sana.
 
Mpaka ukaandika paragraph, kweli mnaumia ila ndio hivyo sheikh mlichagua mtume dhaifu sana.
A subconscious defense mechanism characterized by refusal to acknowledge (or rationalization of) unwanted or unpleasant facts, realities, thoughts, or feelings.
 
A subconscious defense mechanism characterized by refusal to acknowledge (or rationalization of) unwanted or unpleasant facts, realities, thoughts, or feelings.

Sasa soma ulichoandika, rudia mara tano utaona unaongea kuhusu nyie maustadhi
 
Nani kakuambia hilo lengo?lengo la putin ilikuwa kuwaokoa warusi kwenye mikoa yaliyokuwa ya Ukraine na ameweza kuyachukua yale mikoa na sasa hivi Ukraine wanawatamanisha wachukue Odessa pia
Sio Ukraine kujiunga na nato tena?
 
Back
Top Bottom