Kashi
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 897
- 745
Wadau wa Jf naombeni ushauri.Mimi ni Mwalimu katika Halmashauri ya Wilaya ya SHINYANGA VIJIJINI.Nilipandishwa daraja/cheo tangu mwezi November,2011.Lakini mpaka sasa sijabadilishiwa mshara,si mimi tu kwani wapo na wengine kadhaa naowafahamu wenye tatizo kama langu.Nikifuatilia Ofisi ya DED naambiwa taarifa zimeshatumwa nisubirie mabadiliko lakini ndio hivyo tena.Hali hii imefanya morality yangu ya kazi ishuke down to the earth.