Darasa apata views milioni 3 you tube-Muziki

Huu sio wa Fella wala wa Babu Tale.

Maana mliona kama nyie ndio wenye Mziki wenu sasa Kibao kimegeuka mnataka kujipendekeza kwake
Sijawahi kubisha tangu nijiunge JF,ila huwa natoa FACTS tu,sasa kama wewe ziko vizuri kichwani zipinge FACTS zangu, na kwako hilo huliwezi.
 
Sijawahi kubisha tangu nijiunge JF,ila huwa natoa FACTS tu,sasa kama wewe ziko vizuri kichwani zipinge FACTS zangu, na kwako hilo huliwezi.
Mimi nakupinga sababu watu wanaweza wakawa na mzuka na nyimbo na video na baadae wakaipotezea hvyo si lazima kwa watu kuendelea kuangalia kwa kipindi kijacho mfano hyo Aje ilipata views milioni kabla ya siku 7 ila mpaka sasa inaingia miez 7 inaenda 6 milioni views natumai umenielewa
 
UMEJITAHIDI,ngoja tuone kama itasizi au itazidi kuwa juu.
 
Povu la nini dogo, sasa huoni aibu Aje ina views 5 M mwakamzima, wakati muziki wa Darasa mwezi tu inagonga 3 M ? Ni aibu kubwa kwa PimbiKiba
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tbt hizoo

dk pimbi na harakati zake bubu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tbt hizoo

dk pimbi na harakati zake bubu
Pimbi alikuwa sio mmaliziaji mzuri ila kwa kuanzisha tukio alikuwa vizuri sana kuna siku kachukua demu mambo ya usafiri hana wakawa wanauwa winga mara katokezea kitaa demu kasita anamwambia Pimbi pale wanao sukana kuna mama yangu mdogo so siwezi kupita hapo Pimbi kamwambia demu hilo dogo niachie mimi kaenda pale kawasabahi vizuri kisha akawaambia kina mama mmekaa kusukana hapa wakati sukari inagawiwa penye duka la tarafa enzi hizo sukari adimu basi wacha watimue mbio huku wanataja sukari Pimbi kajua kamaliza game anarudi kwa demu wanapishana demu mbio nae anataja sukari game ikaishia hapo .
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah
 
Povu la nini dogo, sasa huoni aibu Aje ina views 5 M mwakamzima, wakati muziki wa Darasa mwezi tu inagonga 3 M ? Ni aibu kubwa kwa PimbiKiba
Kacheze unapochezaga
 
>>>>>><<<< >>>Acha maneno weka mziki
 
Acha maneno weka muziki
Blah blah blah.. Nasikia eti wewe ni Demu mkali hadi humu JF kuna mtu umeshamdatisha What do you except !
Mtu kama mimi ujue nipo mbioni kukutokea...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tbt hizoo

dk pimbi na harakati zake bubu
Pimbi kakutana na demu mkali yule demu akawa anamuangalia sana pimbi basi doctor love akaona zali hili ikabidi ajiweke vizuri yule demu bado anamshangaa pimbi
Dokta akaingia mzima mzima na kuanza kutabasamu demu akumuuliza kama anamfananisha au ndie yeye ? dokta kaona ndio penyewe hapo akajibu hata hujanifananisha ni mimi kabisa
Demu basi mungu ashukuriwe uliwezaje kupona ? dokta akawa kachanganyikiwa kupona vipi tena ? demu siku ile tulipomleta ndugu yetu hospital ya mirembe ulikuwa umefungwa minyororo . dokta akawaka yaani umeisha jiona mzuri na kuanza kutukana watu mshenzi mkubwa wewe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…