Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe
amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mkulu awe hajasikiaAiseee!!
Kama wakitoka hao, sijui!!
Asije akazidi kuvimba kichwaHuyu hana management maana naona anapayuka payuka tuu.
Aiseee!!
Kama wakitoka hao, sijui!!
Avimbe mara ngapi?Asije akazidi kuvimba kichwa
Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe
amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni
Hii ni dharau kubwa sana..Na mbaya zaidi anachochea kwa kuongea kwenye media.
Nafuu wangefanya kimya kimya
Kesho atakuja taahira mwingine atasimamia usukani akicheza huo wimbo ili aje atolewe na darasa..hapana, haiwezekani!Labda mkulu awe hajasikia