supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Umeiskiliza audio vizuri mkuu alichoongea darasa??Asianze kutuudhi!
so we mradi ni wimbo wako umechezwa ,abiria waliokuwa kwenye lile gari nao ungewasaidia kutoka ahera au MOI?
psyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
ndugu muandishi soma vizuriAta ujafatilia povu limekutokaaa! IPO hivi sio kiki na Saidi Makachakacha ndio dereva alikua kashashusha abiria wanaenda kupaki, Na utafiti uliofanyika mpaka sasa ni kwamba hawafahamiani kabisaa na darasa...ila kesho atafikishwa mahakamani kwa mashtaka yanayomkabili, Mpaka sasa bado yupo lokap.
Nimesoma vizuri princess Ariana: na nimeelewa pia tukio nzima ninalifaatilia kwa karibu na ndio maana nilikua nafafanua tuu sio kiki! Ni ushapibiki Tu Wa music...ndugu muandishi soma vizuri
wewe uliyesikiliza si unaona unachoandika kuwa apige picha nao?Umeiskiliza audio vizuri mkuu alichoongea darasa??
-pole sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe uliyesikiliza si unaona unachoandika kuwa apige picha nao?
Apache sheria ichukue mkondo wake.
Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe
amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni
itachukuaApache sheria ichukue mkondo wake.