mpuyango
Member
- Aug 17, 2016
- 60
- 68
Kajiandae team: "diamond_ hufanyi muziki ila ni ujanja ujanja tuu"
DARASA: Acha maneno weka muziki imba unachopenda ukitaka kucheza cheza muziki
ALIKIBA (Akitaman sana kuwa kama diamond)
DARASA: Funga mkanda, kaza na kamba ama ufuate nyayo uchane msamba
OMMY DIMPOZ: Diamond ananunua viewers yule
DARASA: Unataka kukimbia na hauna break, what do u expect ??"
TEAM KIBA: Ali kiba bwana mkali wa kuimba live hadi bas
DARASA: Vitu vingine havitakagi ujuaji, unaweza jikuta unatandikia mtu jamvi_"
DIAMOND: Sijui ni kipi nmewakosea walimwengu, et jamn nifanye nini nionekane mwema??"
DARASA: Pasua miamba, pasua anga si unasemaga chambua kama kalanga"
Uwiiiiiiii!! darasa amemteteaje mi ningeshindwa mbona
habay eno mtweve!
DARASA: Acha maneno weka muziki imba unachopenda ukitaka kucheza cheza muziki
ALIKIBA (Akitaman sana kuwa kama diamond)
DARASA: Funga mkanda, kaza na kamba ama ufuate nyayo uchane msamba
OMMY DIMPOZ: Diamond ananunua viewers yule
DARASA: Unataka kukimbia na hauna break, what do u expect ??"
TEAM KIBA: Ali kiba bwana mkali wa kuimba live hadi bas
DARASA: Vitu vingine havitakagi ujuaji, unaweza jikuta unatandikia mtu jamvi_"
DIAMOND: Sijui ni kipi nmewakosea walimwengu, et jamn nifanye nini nionekane mwema??"
DARASA: Pasua miamba, pasua anga si unasemaga chambua kama kalanga"
Uwiiiiiiii!! darasa amemteteaje mi ningeshindwa mbona
habay eno mtweve!