Darasa huru: fungua website / tovuti yoyote iliyofungiwa, ni njia rahisi ya moja kwa moja.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Leo natoa somo kwa jamii ya watu wanapatwa na changamoto ya kutumia websites zilizofungwa, hususan kundi lile la watu wanaosafiri nje ya nchi na kukumbana na tatizo la kushindwa kufunguawebsites muhimu zilizofungwa na nchi hio......

- Download Opera browser



- Ingia kwenye menu



- Ingia sehemu ya vpn



- Malizia kwa kuwasha hiki kitufe



***Na hapo utakuwa umemaliza zoezi lako, unapoperuzi tovuti utakuwa unaona alama hii ya vpn



Faida ya opera
  • huna haja ya kudownload vpn inayojitegemea, hii ni browser kama ilivyo google chrome ila ina vpn ya ndani.
  • huna haja ya kufungua na kuwasha vpn kila mara, opera ukiseti mara moja tu umemaliza kazi.
  • ni bure na hakuna kikomo, vpn nyingi ukifikisha MB kadhaa inabidi ulipie au usubiri masaa kadhaa yapite.
  • hutahitaji utitiri wa ma vpn, opera pekee itatosha
ushauri: tumia opera kwa websites zilizofungiwa tu, ukitumia vpn matumizi ya data yanapanda kwa asiliamia kama 10%, MB 100 bila vpn zitakua MB 110 kwa vpn, Mb 500 bila vpn zitakuwa MB 550 kwa vpn.
 
Asante kwa taarifa ngoja tufungue na polepole TV tuone yaliyomo
 
naskia kafungiwa youtube channel yake, ama kweli muosha huoshwa.
Anawagusa CCM sana wameona wafungie kwanza online TV yake pamoja na kipindi chake cha shule ya uongozi ili waweze kumuzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…