Darasa kala Maharage ya wapi?

Darasa kala Maharage ya wapi?

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Huyu jamaa kala maharage ya wapi huyu, mbona sikuhizi anatoa ngoma kali tupu? yaani ukifatia trend yake kuanzia ile ngoma aliyomshirikisha Nay wa Mitego 'Tunaishi', Heya Haye ft Blue, Kama Utanipenda ft Mavoko hadi hii ya sasa Too Much zote ni ngoma kali zinazofaa kuwa hit na hazichoshi kusikiliza, ni nzuri kuanzia audio hadi video. Nini siri ya mafanikio?
 
Kumbe maji mara mojaa kama maharage mbeyaaaa

Darassa hanajua mziki asee sio utan

Wengne watakutag wengne haeki ye ni haterzz
Mioyo ya binadam kaz wengne mtanpndaga nikisepaa
#Too much
 
zamani alikuwa anafanya ngumu hazina soko
 
Uzuri wa wimbo kwa msanii ni kuingiza pesa,kinyume na hapo ni porojo tu.
 
Ukisoma mstari kwa mstari utaona kama kuna dalili za tangazo vile!
Hapana hata hanijui, ila nimemkubali kwa trend yake hii, huko nyuma nilikuwa namchukulia poa na nilijua hatasurvive kwenye game
 
Huyu jamaa ni mkali, nikihesabu kuanzia wimbo aliomshirikisha Blue, Rich Mavoko na huu wimbo wa sasa 'too much" ninamkubali.
 
Kumbe maji mara mojaa kama maharage mbeyaaaa

Darassa hanajua mziki asee sio utan

Wengne watakutag wengne haeki ye ni haterzz
Mioyo ya binadam kaz wengne mtanpndaga nikisepaa
#Too much
hanajua=anajua!![emoji2]
wewe muhaya nini??
 
mimi darasa nimeanza kumfatilia juzi tu baada ya kutoa kama utanipenda..
nafikiri ndo mziki uliompa kiki kwa sisi tusiofatilia hiphop

alafu kapata beat maker mzuri
mziki wowote bwana beat
hata kama ukiwa mbaya ila beat likiwa zuri na ukaenda nalo
mambo yote yanakua mstarini...[emoji122]
 
Yaani maji mara moja kama maharage ya mbeya. Ukiona hivyo ujue anajua. Angalia sikati tamaa..nishike mkono..weka ngoma..kiitikio cha stamina...jamaa anabadilika ofkoz
 
mimi darasa nimeanza kumfatilia juzi tu baada ya kutoa kama utanipenda..
nafikiri ndo mziki uliompa kiki kwa sisi tusiofatilia hiphop

alafu kapata beat maker mzuri
mziki wowote bwana beat
hata kama ukiwa mbaya ila beat likiwa zuri na ukaenda nalo
mambo yote yanakua mstarini...[emoji122]
Hata. Nishike mkono huijui?

Nimechoka nipo njia pandaaa
Sijui hata pakuelekeaaaaa
Na giza ndo limetandaaaaa
Niendapo nani wakunipokeaaa
 
Back
Top Bottom