Darasa kala Maharage ya wapi?

Darasa kala Maharage ya wapi?

Duh nadhani tupo tofaut kidogo
Darasa huyu sio yule wa skatitamaa,hakisawa,nishikemkono na siombayaa...
Afu hawa wasanii sijui wapoje wanaanza vizur baadaye wanazingua wanabaki kubebwa na watu kama wewe mtoa uzi lkn kiukweli hamna jipya hapo
 
Darasa nampenda sana hasa nyimbo zake "nishike mkono na kama utanipenda
 
Na hii ya Roma kaa tayari,et kila demu ukimuuliza anajibu naishi mbeeeezi!!!!!
 
Darasa anatoaga ngoma kali sema hakupataga air time tu.

Kuanzia nishike mkono mwambie mwenzio etc
 
Nna wasiwasi na mleta uzi.Nahis ye'ni Darasa mwenyewe.Hata ivo uko vizur Darasa
 
Huyu jamaa kala maharage ya wapi huyu, mbona sikuhizi anatoa ngoma kali tupu? yaani ukifatia trend yake kuanzia ile ngoma aliyomshirikisha Nay wa Mitego 'Tunaishi', Heya Haye ft Blue, Kama Utanipenda ft Mavoko hadi hii ya sasa Too Much zote ni ngoma kali zinazofaa kuwa hit na hazichoshi kusikiliza, ni nzuri kuanzia audio hadi video. Nini siri ya mafanikio?
Mkuu...
Mbona hapo nyimbo kali ni moja tu,tena ni hiyo aliyomshirikisha rich mavoko...
Labda na hii TOO MUCH kidogo..!
 
ki ufupi darasa yuko vzur tangu anaanza,ndo msanii ninae mkubali,
 
Yaani maji mara moja kama maharage ya mbeya. Ukiona hivyo ujue anajua. Angalia sikati tamaa..nishike mkono..weka ngoma..kiitikio cha stamina...jamaa anabadilika ofkoz
Huyu jamaa nilianza kuwa shabiki wake toka ngoma yake ya kwanza..Binafsi hajawahi kuniangusha
 
Huyu jamaa nilianza kuwa shabiki wake toka ngoma yake ya kwanza..Binafsi hajawahi kuniangusha
Yeah..jamaa anachange na umati....ila jamaa hadi anatoka na skati tamaa mzee alisugua na kina complex kinoma
 
Yeah..jamaa anachange na umati....ila jamaa hadi anatoka na skati tamaa mzee alisugua na kina complex kinoma
Jamaa kumbe kitambo sana aisee..
Yeah jamaa anajitahidi aisee..Hata video anazitendea haki
 
Jamaa kumbe kitambo sana aisee..
Yeah jamaa anajitahidi aisee..Hata video anazitendea haki
Kitamboo..
Ngoja niwahi angle bro jana nilitoa namba nipigiwee wikiendiii [emoji38] [emoji38]
 
Mi naona kama anapotea..
anyway kila na maskio yake.
 
Back
Top Bottom