Darasa kapokea kijiti cha Nay wa Mitego

Darasa kapokea kijiti cha Nay wa Mitego

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Ni kawaida ya wasanii kupokezana vijiti yani kutesa kwa zamu.

Kama ilivyokuwa game ya video ilikuwa ya Adam Juma na sasa kamuachia Hanscana... Marco Chali kamwachia Nah real kwenye audio production... Jide kamwachia Vanessa Mdee kwenye rnb....Majuto alivyomwachia Joti kwenye comedy... Chidi Beenz alivyomwachia Nay kwenye game ya rap.... Ndio hivyo na sasa Nay wa Mitego kamwachia kijiti msela kutoka Kiwalani wakuitwa Darasa.


Kwa sasa game ya rap ni ya Darasa... Darasa ndio game ya rap ndani ya Bongo.
 
darasa mkali wa hiphop kwa sasa
kama ni tuzo
apewe...
ipigwe nusu nusu vs kama utanipenda
au dont bother kwa too much...

darasa katisha kinoma noma [emoji122][emoji122]
 
Ni kawaida ya wasanii kupokezana vijiti yani kutesa kwa zamu.

Kama ilivyokuwa game ya video ilikuwa ya Adam Juma na sasa kamuachia Hanscana... Marco Chali kamwachia Nah real kwenye audio production... Jide kamwachia Vanessa Mdee kwenye rnb....Majuto alivyomwachia Joti kwenye comedy... Chidi Beenz alivyomwachia Nay kwenye game ya rap.... Ndio hivyo na sasa Nay wa Mitego kamwachia kijiti msela kutoka Kiwalani wakuitwa Darasa.


Kwa sasa game ya rap ni ya Darasa... Darasa ndio game ya rap ndani ya Bongo.
je kwa upande wa bongo flava nan anashikilia kijiti now
 
Back
Top Bottom