Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kutokana na kinacho endelea bungeni, hasa kudharauliwa kwa wenzetu darasa la 7 bila kujali mchango wao katika taifa hili, ni vizuri jambo hili tulijadili kwa kina.
Kabla ya yote napenda kuwatambulisha viongozi wa chama cha darasa la 7 Tanzania
1. M/Kiti : Msukuma (Mb geita vijijini).
2. Katibu: Sanga (Mb Makambako Njonbe).
3. Mweka hazina:Mbunge wa kahama.
Agenda za Kikao:
1. Kumshinikiza Spika ateue darasa la 7 kwenye kamati kuhimu za Bunge
2. Kupeleka maombi maalumu kwa Rais mama Samia, ateue waziri wa elimu darasa la 7
3. Cheo cha Dr na Prof kifutwe na kisitumike kabla ya jina la mtu, Dr ibakie kwa madaktari tuu na Prof litumike kumtambukisha mwalimu yeyote hata kama ni wa shule za vidudu.
Wajumbe karibuni kwa maombi, mwenyekiti kesha fungua kikao.
Kabla ya yote napenda kuwatambulisha viongozi wa chama cha darasa la 7 Tanzania
1. M/Kiti : Msukuma (Mb geita vijijini).
2. Katibu: Sanga (Mb Makambako Njonbe).
3. Mweka hazina:Mbunge wa kahama.
Agenda za Kikao:
1. Kumshinikiza Spika ateue darasa la 7 kwenye kamati kuhimu za Bunge
2. Kupeleka maombi maalumu kwa Rais mama Samia, ateue waziri wa elimu darasa la 7
3. Cheo cha Dr na Prof kifutwe na kisitumike kabla ya jina la mtu, Dr ibakie kwa madaktari tuu na Prof litumike kumtambukisha mwalimu yeyote hata kama ni wa shule za vidudu.
Wajumbe karibuni kwa maombi, mwenyekiti kesha fungua kikao.