Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,851
Kila nguo nikivaa inanipendeza.Mimi nikivaaga shati nyeusi na 'kamodo' keupe najizolea sifa kibao....halafu chini nina 'karaba' keusi!weeeh.
Mkononi nina 'kasmatifoni' kamechomekwa 'earphone' nyeupe.....
Natamanigi nivae hivyo muda wote[emoji14]
Wewe ukivaaje unapendeza?
Wacha weee..!!Gauni ya kubana au jeans na top. Nikivaaga skirt najiona wa ajabu sijui kwanini..
Shat unakunya nn?Mie nakula full jaens mpauko na snicker nyeupe, shat nakunya mikono
HuhuhuhuShat unakunya nn?
Mkuu wahi hospitali hii hali si ya kawaida!
Mbona nguo imechanika
Unakunya mikono!!!!!!Mie nakula full jaens mpauko na snicker nyeupe, shat nakunya mikono
shati ya kaki tuko pamojaMi napenda shat ya kaki juu chini suruali black AF chini simpo ya rangi ya kijeshi au kijan na saa mkononi ya kaki kofia ya kaki simu gold smartphone gamba LA kaki miwani sitaki
Umeona eehshati ya kaki tuko pamoja
shati ya kaki, nyeusi, nyeupe
chini jinzi blue, suruali khaki
raba nyeusi, moka
kwingine kote tunafanana...kasoro hapo unapokunya shati mikonoMie nakula full jaens mpauko na snicker nyeupe, shat nakunya mikono
halafu demu wangu analipuka hivi...Mbona nguo imechanika