Darasa la kupigilia pamba kijanja

unajua mie ni mnene Nalendwa !unene wangu sio kvileee nipo km vj penny vile! sasa nijitumbukize humu thighs nje uwiiiiiiii!ila napenda sana fashoon


I see!, mie huwa naenda zaidi na zilizochanika kuanzia magotini au juu kidogo kama hiyo hapo, kuepuka kuonyesha thighs.
 
I see!, mie huwa naenda zaidi na zilizochanika kuanzia magotini au juu kidogo kama hiyo hapo, kuepuka kuonyesha thighs.


mwee nataman mbn nikuone mamy !puliz ! mweeee nitatafuta moja nivae na high heels nitakupm uone !heheh msukuma mie sipatii picha wanangu watakavyonishangaa!
 
mwee nataman mbn nikuone mamy !puliz ! mweeee nitatafuta moja nivae na high heels nitakupm uone !heheh msukuma mie sipatii picha wanangu watakavyonishangaa!


[emoji3] [emoji1] [emoji28]

Umenichekesha eti watakushangaa! [emoji1]
Naona watoto huwa wanashangaa kwa nini mtu anavaa nguo ya kuchanika...lol!

Nitakuletea kwa pm, halafu utapatia sana hapo pa high heels. Torn na Tight jeans naona kama huwa zinanoga zaidi na heels.
 


yeah zinanoga na high heels!utanipa nione pm aisee !ila huez amini natupiaga high waist inanitoaga kweli kweli had najiuliza whr is my tummy !lol
 
Gal I see you, Mich yeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…