Darasa la kutongoza kwa wanaume

jinsi ya kumkonvice mtu mwende iyo sehemu tulivu suppose ni mgeni

Sio kitu cha siku moja kama nina nia na wew e
huwa inaanza mazoea na mazoea yanajenga urafiki na urafiki unaza uhusiano wa karibu ambapo naweza kukualika outing sehemu mbalimbali
sio kitu cha siku moja
 
wanaume tunajua kutongoza isipokuwa uliowapata ndo hawajui kutongoza, kutana na mimi uone.
 
Yawezekana umekaa wa kuchapa tu na kusepa kiasi kwamba kuzunguka sana kwao haikuwa ishu saana,ama tuseme unayo bahati mbaya sana kukutana na wanaume wenye upeo mdogo kimahaaba!
wewe ndo umekaa hivo kingono ngono hata historia ya jina lako inathibitisha to hell
 
Sio kitu cha siku moja kama nina nia na wew e
huwa inaanza mazoea na mazoea yanajenga urafiki na urafiki unaza uhusiano wa karibu ambapo naweza kukualika outing sehemu mbalimbali
sio kitu cha siku moja
kweli iyo ni approach nzuri wanawake tunapenda ivo unaonekana mstaarabu kiasi sio mambo yaende tu vuluvulu
 
Japokuwa kumuaproach mwanamke hakuna fomula ila hiyo ya hao ni ya kijinga sana,kutongoza kunategemea na mwanamke mwenyewe utakavyomsoma,dada hao ni wajinga sana!

he he hee...labda wamemsoma na akasomeka kwa hiyo gia waliyomuingilia!!
 
kweli iyo ni approach nzuri wanawake tunapenda ivo unaonekana mstaarabu kiasi sio mambo yaende tu vuluvulu

Asante kwa compliments

Aise kama nataka nijenge mahusiano yenye heshima kwa mtu siwezi kuanza na masuala ya ngono
Ngono ni baadae sana baada ya kukujua na tumeshakula hata good time kidogo ndo sasa nitaingizia hilo

Ahhh unanikumbusha strategy zangu bana
 
eti ooh dada umevaaje leo huko ndani?
mara umelalaje unaangalia juu chini? yaani siku nikimshika namuwasha vibao wallah
 
eti ooh dada umevaaje leo huko ndani?
mara umelalaje unaangalia juu chini? yaani siku nikimshika namuwasha vibao wallah

hahahahah hao ni watoto bana au wajinga hawajui ni nini wanachotaka na wanafikiria ukikutana na mwanamke kwa siku ya kwanza tuu anachohitaji kwako ni ngono kumbe sio kabisa
 
eti ooh dada umevaaje leo huko ndani?
mara umelalaje unaangalia juu chini? yaani siku nikimshika namuwasha vibao wallah

Ma jery umenichekesha sana. Eti siku ukimshika utamuwasha vibao.

Lakini kweli inaboa bana. Mtu ataanzaje tu kukuuliza huko ndani umevaaje. Ukimuwasha kibao wa hivyo hata mimi nitakusaidia manake ni utovu wa adabu kabisa huo.
 
Hakuna kutongoza mijini, waweza kutembea na mwanamke japo hujawahi kumtamkia maswala ya mapenzi.
<br />
<br />
dat tru men.rrraaaaaaaaa
mbona mm mara kibao.
 
<br />
<br />
Kaka umemaliza karibu kona zote halufu nina swali dogo tu hii ndiyo style uliyoniporea nayo kwa Preta siku tulipokuwa tunatoka porini Tarangire?
 
<br />
<br />
Kaka umemaliza karibu kona zote halufu nina swali dogo tu hii ndiyo style uliyoniporea nayo kwa Preta siku tulipokuwa tunatoka porini Tarangire?

Kumbe mko wengi eehhh mbona nilitaka nianze mbio pale kwa Preta
 
Nadhani hii ndiyo sababu inayotufanya sisi wakina meku tukae bar mpaka saa saba tukisubiri zifungwe tuondoke na mabar maid wakishamaliza kazi hawana usumbufu hela yako tu leo ni zamu ya masawe kesho chuwa kesho kutwa minja nk.mpaka tunatosheka mnaishia kututisha eti tutamalizika na ukimwi kwani nani ataishi milele!
 

Derimto u make my evening maana nimecheka mbaya
Hao hawana cha outing wala nini unajichagulia
Na wakati unaingia kabla hujapata bottle uliwaona wabaya sana na hawana shape ila bottle zikiwa kichwani ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…