<br />Kumbe mko wengi eehhh mbona nilitaka nianze mbio pale kwa Preta
<br />Derimto u make my evening maana nimecheka mbaya<br />
Hao hawana cha outing wala nini unajichagulia <br />
Na wakati unaingia kabla hujapata bottle uliwaona wabaya sana na hawana shape ila bottle zikiwa kichwani ni balaa
Unaonaje ukafungua darasa ukatufundisha jinsi ya kutongoza kwa adabu??mimi ni mwanamke n
nilikutana na mkaka mmoja sijui alinipenda au alinitamani alivonitongoza kabla sijamjibu kuna siku akanipigia simu nasimu ya rafiki yake tumiit somewhere nilienda na akaja na huyo rafiki yake.tukaakaa wakaondoka.usiku yule rafiki akanipigia akaniambiadada mimi nimekupenda saana naomba tuwe pamoja huyu rafiki yangu ana mchumba tayari na keshamtambulisha kwao nikwamwambia sikutaki wewe wala huyo rafiki yako swali langu ni hv huyo mkaka alitegemea kwa kuniambia ivo ningemkubali?
2case
huyu mwingine kanitongoza nae usiku akanipigia helo helo eti dada umevaa underwear gani? kiukweli sikuwa na jibu na nikamdiscolify hapohapo naona kama hana adabu huyu
3case huyu ni mkaka wa kijijini kwetu
nilikutata nae town niko na marafiki zangu akaniita bembeni akaniambia yaani nimekutamani sana nikamuuliza unamaanisha nini akasema yaani nakutamani toka huko mdogo kiukweli tulimtukana sana
swali.wanaume hawajui kutongoza au ni vp? kwanini mnashindwa kuweka heshima mbele?
ina maana wanaume hamjui kutongoza kwa heshima
<br />
<br />
Kama una mbavu karibu ila mwenyewe nimechemsha kama cm.ya mchina nataka na mimi nihamie Kericho labda ataniwazia maana yule mtoto anapenda safari utadhani kala makongoro ya farasi
<br />
<br />
Sasa haujaupata raha umkute aliye na pesa kuwazidi wenzake watamwimbia na mapambio ya sifa watalewa mpaka wachanganyikiwe halafu ataishia kulinda hela zilizobaki zisipotee na bar maid anachukuliwa na kimario ingawa ni shayo alishafanya booking na kunua pombe yote ila pombe imezidia na hayuko tayari kupotea hela zake.
hahahahah huwa naona mkuu yaani jicgo la kila mwanaume linamwelekea na macho ya kumtamani na mashindano ya kumnunulua bia yanakuwa mengi sana ila mwenye kisu kikali ndie alaye nyama
Wewe ni Rocky Balboa au Rocky Marciano?
<br /><font size="3">mimi ni mwanamke n<br />
nilikutana na mkaka mmoja sijui alinipenda au alinitamani alivonitongoza kabla sijamjibu kuna siku akanipigia simu nasimu ya rafiki yake tumiit somewhere nilienda na akaja na huyo rafiki yake.tukaakaa wakaondoka.usiku yule rafiki akanipigia akaniambiadada mimi nimekupenda saana naomba tuwe pamoja huyu rafiki yangu ana mchumba tayari na keshamtambulisha kwao nikwamwambia sikutaki wewe wala huyo rafiki yako swali langu ni hv huyo mkaka alitegemea kwa kuniambia ivo ningemkubali? <br />
<br />
<br />
2case<br />
huyu mwingine kanitongoza nae usiku akanipigia helo helo eti dada umevaa underwear gani? kiukweli sikuwa na jibu na nikamdiscolify hapohapo naona kama hana adabu huyu<br />
<br />
<br />
<br />
3case huyu ni mkaka wa kijijini kwetu<br />
nilikutata nae town niko na marafiki zangu akaniita bembeni akaniambia yaani nimekutamani sana nikamuuliza unamaanisha nini akasema yaani nakutamani toka huko mdogo kiukweli tulimtukana sana<br />
swali.wanaume hawajui kutongoza au ni vp? kwanini mnashindwa kuweka heshima mbele?<br />
ina maana wanaume hamjui kutongoza kwa heshima<br />
</font>
<br />heading na kilichomo tofauti.
<br />sasa wewe unafikishaje ujumbe?
Swali la msingi kwa huyu manzi ni hilo hajawahi kumkubali mtu mpaka awaponde kishenzi washikaji?mama jeri ulimpata jeri lini?
Mbona wajipa maujiko kama wewe ni kigoli?
Wanaume wengi wanaojipanga kutongoza hawafanikiwi.....! So, always let the nature take place....!<br />
<br />
Kaka umemaliza karibu kona zote halufu nina swali dogo tu hii ndiyo style uliyoniporea nayo kwa Preta siku tulipokuwa tunatoka porini Tarangire?