Unajua hapa tuna upande mmoja tu wa stori. Tunaweza kuwalaumu sana hao washikaji kumbe inawezekana mwenye tatizo ni wewe. Kwa sababu hainingii akilini watu wote hao waje kwa staili hiyo hiyo moja. Inawezekana wewe mwenyewe unajilengesha kwa namna moja au nyingine. Asikwambie mtu wanaume wote wanatongoza mwanamke kwa namna anavyorespond katika mazungumzo. Na ndiyo maana kuna wanawake ambao unaweza kuonana nao leo hii na ukawaambia nataka twende nikaku......mbe na bado ukapewa mzigo.eti ooh dada umevaaje leo huko ndani?
mara umelalaje unaangalia juu chini? yaani siku nikimshika namuwasha vibao wallah
Kwanza siku hizi kuna kutongoza tena kweli
maana nfikiri kutongoza kumebaki kwa hivi vitoto vya sekondary na msingi
mtu mzima najipinda kweli kutongoza na kutangaza sera zangu nyingi na ahadi nyingi za uongo
Angalia, asije akamwaga swaga zake afu ukanasa (gusa unate style), itakuwa ngumu ku-undo.Tell me about your swag...
Bora useme wewe! Maana ile ART ya kutongoza nadhani imeondolewa na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano ya habari. Unajua zile za zamani umekaa meza moja na mdada unamwaga sera zako ilikuwa ina raha yake!
mmmmmhhhhh ma Jery, yaani mtu kuitwa Rweye maana yake inathibitisha nini mama?wewe ndo umekaa hivo kingono ngono hata historia ya jina lako inathibitisha to hell
mimi ni mwanamke n
nilikutana na mkaka mmoja sijui alinipenda au alinitamani alivonitongoza kabla sijamjibu kuna siku akanipigia simu nasimu ya rafiki yake tumiit somewhere nilienda na akaja na huyo rafiki yake.tukaakaa wakaondoka.usiku yule rafiki akanipigia akaniambiadada mimi nimekupenda saana naomba tuwe pamoja huyu rafiki yangu ana mchumba tayari na keshamtambulisha kwao nikwamwambia sikutaki wewe wala huyo rafiki yako swali langu ni hv huyo mkaka alitegemea kwa kuniambia ivo ningemkubali?
2case
huyu mwingine kanitongoza nae usiku akanipigia helo helo eti dada umevaa underwear gani? kiukweli sikuwa na jibu na nikamdiscolify hapohapo naona kama hana adabu huyu
3case huyu ni mkaka wa kijijini kwetu
nilikutata nae town niko na marafiki zangu akaniita bembeni akaniambia yaani nimekutamani sana nikamuuliza unamaanisha nini akasema yaani nakutamani toka huko mdogo kiukweli tulimtukana sana
swali.wanaume hawajui kutongoza au ni vp? kwanini mnashindwa kuweka heshima mbele?
ina maana wanaume hamjui kutongoza kwa heshima
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Acha kudanganya mkuu<br />
<br />
Approach yako si lazima iwe ya wote. Eti utengeneze urafiki kwanza, for how long? Chelewa chelewa utakuta mwana si wako! Kanuni zangu kama huyu nang'oa (I.e. Nakubalika kwake) nakong'oa tu hata kama nije waluwalu kinoma. Na kama huyu si wa kung'oa hung'oi ng'o hata uje kistaarabu namna gani. Na kwa sababu hiyo kuna mademu waweza ng'oa ndani ya siku 3, wiki, mwezi, miezi mitatu and so forth. Na kama si wa kung'oa hata ukomae vipi hutang'oa sana sana utajichosha bure kwa kupretend kuonesha ustaarabu fake usiokuwa nao