stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Kama hajaelewa basi atakuwa ni mbishi...Sampling.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hajaelewa basi atakuwa ni mbishi...Sampling.
Kwa uelewa wangu mdogo mkoa ambao umefanya vibaya zaidi ndio hii semina ilitakiwa ipelekwe.
Halafu utungaji mitihani sidhani kama una uhusiano na kufaulu, shida kubwa niionayo mimi ni wanafunzi kutomaliza mitaala na upungufu wa walimu ndio unaofanya matokeo kuwa mabaya.
Unforgetable
Hili swali lilimuhitaji Dr ajibu na ni mojawapo ya maswali konki sana yanayoulizwa kwenye defending ya proposal au thesis academicallyTataMadiba,
Kwa nini iwe dar pekee,
kwa nini isiwe Rukwa na Simiyu?
Au ndiyo kampeni za kuishusha Kilimanjaro kuwa kinara wa Elimu?
Amechaguaje hiyo sampleKama hajaelewa basi atakuwa ni mbishi...
Matokeo ya kukaririshwa mtihani tunayaelewa vizuri sana. Mwanafunzi anakwenda kidato cha tano ana daraja la kwanza la alama saba. Mnapoanza masomo anakuwa anashangaa katika baadhi ya masomo ya "combination" yake kiasi cha kwamba wengine wanamshangaa kapataje hizo alama. Ni mwendo wa kukaririshwa mtihani toka Januari hadi mwisho wa mwaka, na hivyo hata maswali yakitungwa vipi lazima watapasua tu.Vipi kuhusu ufundishaji? Wanafunzi wanafundishwa kukariri mitihani na si uelewa wa walichofundishwa darasani muda wote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusimamia na kusahihisha hiyo mitihaniYa nini?
Swali zuri sanaVipi kuhusu walimu wa shule za mikoani ?
Swali zuri sana
Aliyekwambia watatoa topic zote nan...? Na kuna ubaya gan wakitunga topic zote?Wanafunzi wamefungua shule tarehe 6 january, kesho ni tarehe 16
Hivi ndani ya huo muda, walimu na wanafunzi wanaweza kuwa wamesoma kiasi cha kucover mada zote za darasa la saba?