Darasa la saba hawezi kutunga Sheria lakini anaweza kutunga Katiba

Darasa la saba hawezi kutunga Sheria lakini anaweza kutunga Katiba

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Wakuu,

Tumeambiwa kwamba STD VII elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga Sheria Bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao STD VII yaliyobatizwa jina la maoni ya "Wananchi walio wengi" yalivyokuwa DILI ndani ya RASIMU YA WARIOBA yaliyosababisha watu wazima wenye Elimu zao kususia hata mjadala wa Bunge Maalum la Katiba ili kuunga mkono mawazo yao hata kama sio wengi (yaani watu 19,000)!

Inakuwaje hao wananchi ambao Elimu zao hazijai hata mkononi waweze kutunga Katiba lakini wasiweze kutunga Sheria tu za kawaida Bungeni?

Au hawa wana-UKAWA wanachanganya "kuandika (drafting) Sheria" na "kutunga sheria" kiasi kwamba wanafikiri kwamba STD VII wataachiwa ku-draft sheria akiwa Bungeni?

Tujadili zaidi!!
 
Huyu jamaa ni wa kupuuzwa kwani waliondika rasimu ni std vii
 
Inahitajika nguvu ya ziada kukuelewa mkuu.
 
Kwani wewe umeona wapi watu wa std 7 kuandika katiba?
Tume ya Wariona ilikusanya maoni ya watu wa kawaida ,na kuyaratibu,na kupata something from common pple feelings,unferstanding and ideas.
HAlafu wakachuja na kuyaelekeza kwenya proper diretion yale mawazo ya lei mans na kupata kiti kizima henye kusaound.Ndio maana wao hawakupata maoni ya moja kwa moja yasema yo serikali tatu ila waliweka vigezo vinavyoshabihiana.
Kwa mfano ,mimi nilisema zanzibar iwe na ushiriki sawa na tanganyika kwenye muungano.
Mambo ya muungano yapunguzwe na yawekwe nje ya utawala wa zanzibar na nje ya utawala wa Tanganyika.
Au kusema Tanganyika ivuwe koti la muungano.
Au kusema kuwa serikali zibaki mbili lakini zanzibar iwe na mamlaka kamili ya maamuzi ya fedha,uchumi,mambo ya nje ,ushirikiano wa kimataifa bila ya kupitia kwa Tanzania bara.
Utaoona mawazo yote ya aina hii yanalenga muundo wa serikali Tati .Yanadai mamlaka pekee ya Muungano.
Maoni ya aina hii yalitolewa na wapinzania na hata ccm wenyewe ,lakini common ppl.
Watu wanadhani kujuwa mambo ni mpaka uwe na degree tu,ukiwa hukusoma hujuwi kitu.hivyo sivyo kabisa .Kuna vipaji vingi tuu viko mitaana na havikupita shuleni,tena more creative minds ziko uswahilini kwa hao ma leimans.
nawakilisha
 
Huyu jamaa anadhani kila anayeongea naye hapa ni drs la saba
 
Wakuu,

Tumeambiwa kwamba STD VII elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga Sheria Bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao STD VII yaliyobatizwa jina la maoni ya "Wananchi walio wengi" yalivyokuwa DILI ndani ya RASIMU YA WARIOBA yaliyosababisha watu wazima wenye Elimu zao kususia hata mjadala wa Bunge Maalum la Katiba ili kuunga mkono mawazo yao hata kama sio wengi (yaani watu 19,000)!

Inakuwaje hao wananchi ambao Elimu zao hazijai hata mkononi waweze kutunga Katiba lakini wasiweze kutunga Sheria tu za kawaida Bungeni?

Au hawa wana-UKAWA wanachanganya "kuandika (drafting) Sheria" na "kutunga sheria" kiasi kwamba wanafikiri kwamba STD VII wataachiwa ku-draft sheria akiwa Bungeni?

Tujadili zaidi!!

Hangover ikiisha uje uandike tena vizuri...
 
Mna habari kwamba,bunge la katiba mpya lilikuwa na mwakilishi wa watu wasiojua kusoma na kuandika !
B.M.K. NI HISTORIA !
 
Wakuu,

Tumeambiwa kwamba STD VII elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga Sheria Bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao STD VII yaliyobatizwa jina la maoni ya "Wananchi walio wengi" yalivyokuwa DILI ndani ya RASIMU YA WARIOBA yaliyosababisha watu wazima wenye Elimu zao kususia hata mjadala wa Bunge Maalum la Katiba ili kuunga mkono mawazo yao hata kama sio wengi (yaani watu 19,000)!

Inakuwaje hao wananchi ambao Elimu zao hazijai hata mkononi waweze kutunga Katiba lakini wasiweze kutunga Sheria tu za kawaida Bungeni?

Au hawa wana-UKAWA wanachanganya "kuandika (drafting) Sheria" na "kutunga sheria" kiasi kwamba wanafikiri kwamba STD VII wataachiwa ku-draft sheria akiwa Bungeni?

Tujadili zaidi!!

Mimi sikujua kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikusanya maoni kwenye shule za msingi tu. Ni kitu gani kinachokufanya ubuni hoja hii? Yaani wewe ulikuwa wapi wakati mchakato wa kukusanya maoni unaendelea? Au ulichokiona wengine hatukukiona? Kama wewe ni 'darasa la saba' na uliombwa kutoa maoni haimaanishi kuwa wote waliotoa maoni walikuwa 'darasa la saba'.
 
Nimefungua nikifikiri ni bonge moja wapo la thread, kumbe mataputapu tu!!!!
 
Nimefungua nikifikiri ni bonge moja wapo la thread, kumbe mataputapu tu!!!!
Haaaa haaaa! Ningewasifu wana-UKAWA kwa kuitisha maandamano ungeona ni bonge la thread!
 
Hahaha! we mtoa mada neno mwananchi halmanish std seven tu, hata kama we n msomi bado kwa upande mwingne we ni mwananchi kwa hyo ktk maon hayo ya wananchi wamo hata wasomi maana hata msom naye n mwananch. tatizo la wanaccm ni kuwa na akil mgando upo
 
alietoa mada ni std 7 ndo maana anataka kuaminisha umma kua std 7 can do something shame upon u ,std 7 anaweza kuongea na c kureason kwann kasema kitu fulani ndio maana naamini hata ww huwezi kutoa ufafanuzi wa hicho ulichokiandika hapo juu.
 
alietoa mada ni std 7 ndo maana anataka kuaminisha umma kua std 7 can do something shame upon u ,std 7 anaweza kuongea na c kureason kwann kasema kitu fulani ndio maana naamini hata ww huwezi kutoa ufafanuzi wa hicho ulichokiandika hapo juu.
Wana-UKAWA ndio wanaokumbatia maoni ya
"wananchi walio wengi" ambao majority ni STD VII, at the same time wanapinga STD VII kuwa wabunge! Hizo ndio sura mbili za wana-UKAWA!
 
Back
Top Bottom