Darasa la saba hawezi kutunga Sheria lakini anaweza kutunga Katiba

Darasa la saba hawezi kutunga Sheria lakini anaweza kutunga Katiba

Mkuu hili jamaa tokea limetimuliwa kazi ya umods kawa kama mwehu achana naye

Mambo ya moderation yanaingiaje hapa? UKAWA mjifunze kujadiliana na kuheshimiana na wale wenye mawazo tofauti na ya kwenu! Tatizo lenu ni kuporomosha matusi dhidi ya kila mtu msiyekubaliana na mawazo yake! Mlianza kuwakejeli na kuwatukana Waasisi wa Taifa hili na tangu pale mmekuwa na behaviour ya ajabu sana utafikiri mmetumwa vile!
 
Unapoteza muda wako bure.Unayemjibu hapo zamani za kale aliitaka Z'bar yake, alipoingia Dodoma tu akaahidiwa Uwaziri wa huku bara na akikosa basi Ubalozi ndiyo maana kila ukitudi ni kuitetea Hiyo rasimh sujui ya Mzee wa vijisenti.

Hueleweki!
 
Hivi JamiiForum uongozi huwa mna utaratibu wa kuomba radhi wasomaji wenu???!!
Kama hilo gumu je huwa mna accept mistakes hata katika vikao vya uongozi??!!

Msiwe na mioyo migumu sana!!!!
 
Hivi JamiiForum uongozi huwa mna utaratibu wa kuomba radhi wasomaji wenu???!!
Kama hilo gumu je huwa mna accept mistakes hata katika vikao vya uongozi??!!

Msiwe na mioyo migumu sana!!!!
Mkuu,
JF iombe radhi kwa lipi?
 
Back
Top Bottom