Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili jamaa tokea limetimuliwa kazi ya umods kawa kama mwehu achana naye
Unapoteza muda wako bure.Unayemjibu hapo zamani za kale aliitaka Z'bar yake, alipoingia Dodoma tu akaahidiwa Uwaziri wa huku bara na akikosa basi Ubalozi ndiyo maana kila ukitudi ni kuitetea Hiyo rasimh sujui ya Mzee wa vijisenti.
Kungekua na umoja na amani kungekua na maendeleo yanayoendana na miaka 50 ya kujitawala.Kwa hiyo wewe unaona umoja na amani tuliyo nayo vimejileta vyenyewe?
Pole ya nini?
Nimefungua nikifikiri ni bonge moja wapo la thread, kumbe mataputapu tu!!!!