Habari ndugu....
Naitwa morris daudi mtanzania ninaeishi dsm....tuna kampuni yetu ambayo tunatoa mafunzo ya ujasiliamari.....tunafundsha jinsi ya kufanya biashara kisasa....tunafundsha online marketing...ufugaji wa nyuki...kuku...samaki pamoja na kilimo cha uyoga....bila kusahau tunafundisha na kuandaa MEMART kwa wanaohitaji kufungua na kumiliki kampuni binafsi na tunawasaidia mpaka hatua ya mwisho....tunafundsha utengenezaji wa batiki na sabuni za maji na vipande...pia utengenezaji wa pipi..vile vile tuna wa link wajasiriali na taasisi za kifedha....mafunzo haya tunayatoa kwa njia ya mtando hasa Whatsapp lakn vile vile kwa njia ya kuonana moja moja kwenye madarasa yetu bugurun na tabata dsm......hivyo baso kwa mtu alie tayari kujiunga na safari ya mafanikio "a success journey...pia tunafundisha jinsi ya kupata mtaji kama kijana na kujiajiri......n inbox number yako ni kwa gharama nafuuu kabisa....week ya kwanza bure
Naitwa morris daudi mtanzania ninaeishi dsm....tuna kampuni yetu ambayo tunatoa mafunzo ya ujasiliamari.....tunafundsha jinsi ya kufanya biashara kisasa....tunafundsha online marketing...ufugaji wa nyuki...kuku...samaki pamoja na kilimo cha uyoga....bila kusahau tunafundisha na kuandaa MEMART kwa wanaohitaji kufungua na kumiliki kampuni binafsi na tunawasaidia mpaka hatua ya mwisho....tunafundsha utengenezaji wa batiki na sabuni za maji na vipande...pia utengenezaji wa pipi..vile vile tuna wa link wajasiriali na taasisi za kifedha....mafunzo haya tunayatoa kwa njia ya mtando hasa Whatsapp lakn vile vile kwa njia ya kuonana moja moja kwenye madarasa yetu bugurun na tabata dsm......hivyo baso kwa mtu alie tayari kujiunga na safari ya mafanikio "a success journey...pia tunafundisha jinsi ya kupata mtaji kama kijana na kujiajiri......n inbox number yako ni kwa gharama nafuuu kabisa....week ya kwanza bure