Hii ilikuwa ni tatizo.Mimi mwenyewe huwa nashindwa kushangaa,hii kitu wameitoa sayari gani ???
I miss u mnooo.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa hapo tutamkosa mshindi sahihi kama asipojaza fomu.Me nilifikiri labda mashabiki wangepewa hiyo nafasi kupendekeza wimbo/msanii katika kila category vinginevyo wasiostahili wataibuka kidedea na hapo ndo mvuto utakapopotea.Huo utaratibu wa kujipendekeza mwenyewe ni mzuri sana..unaweka kazi yako pale unapotaka iwekwe!
Kama unadhani video yako ni bora unaomba kushindania video bora..
Kama unadhani wewe ni msanii bora unayechipukia basi unajaza form unaomba unapendekeza uwekwe hapo kwa chipukizi..
Na hii itakuwa haina malalamiko maana unawekwa ulipodhani unatosha!!
Tatizo la wasanii wa Tanzania wanaona kama kujipendekeza wenyewe ni kujishusha..wanapenda kulambwa miguu!!
Basi ibadilishwe isitwe tuzo, iitwe hata mashindano ya muziki.Huo utaratibu wa kujipendekeza mwenyewe ni mzuri sana..unaweka kazi yako pale unapotaka iwekwe!
Kama unadhani video yako ni bora unaomba kushindania video bora..
Kama unadhani wewe ni msanii bora unayechipukia basi unajaza form unaomba unapendekeza uwekwe hapo kwa chipukizi..
Na hii itakuwa haina malalamiko maana unawekwa ulipodhani unatosha!!
Tatizo la wasanii wa Tanzania wanaona kama kujipendekeza wenyewe ni kujishusha..wanapenda kulambwa miguu!!
EeeehSasa hapo tutamkosa mshindi sahihi kama asipojaza fomu.Me nilifikiri labda mashabiki wangepewa hiyo nafasi kupendekeza wimbo/msanii katika kila category vinginevyo wasiostahili wataibuka kidedea na hapo ndo mvuto utakapopotea.
Mungu siku zote namwogopaga ila hilo bash LA clouds ndo naona JF kuwa lipo na nilijua ka Yale ya chuoni tuDah! Muogope Mungu aisee... skul bash mbona kila mwaka ina-sound sana na wala huwezi kulinganisha na hiyo ya kukaribisha first year! But all in all, hoja ya msingi ni kwamba, kila mwaka huwa inafanyika Jmosi ya pili ya December bila kujali kama inabamba au vinginevyo!!
Mi naona ni njia nzuri tu za waandaaji walivoamua msanii ukichukua form na kujaza category flani inaonyesha umeridhika na mziki na nafasi yako, na hyo itatoa ulalamishi na kusema flani kapendelewa hyo category. Sema wasanii wengi walipuuza sasa ndo waona umuhimu wao. Na wengi wanapenda za nje na kusahau kuwa za nyumbani zina recognition muhimu sana tu, mie sijawahigi waona kina Beyonce wanapapatikia tuzo za nje na kudharau za ndani ka Grammy, MTV hata BET, ila kwetu watu wapuuzia vya nyumbani.Hii ilikuwa ni tatizo.
Kwa sababu maana ya tuzo ni recognition ya ubora kwa kile ulicho kifanya, yaani kazi ya msanii pekee inatosha kumfanya aongie kwenye tuzo. Sasa ikitokea siku walienda kuomba kwa barua ni wasanii wa taarabu tu wata fanyaje?
Labda inawezekana kwavile sitaki kupitwa na jaambo but for what I know, huwa inabamba sana hata kama inalenga wanafunzi! Na miaka yote hata performance nayo inakuwa kubwa vile vile kama ilivyo mwaka huu!Mungu siku zote namwogopaga ila hilo bash LA clouds ndo naona JF kuwa lipo na nilijua ka Yale ya chuoni tu
Yaani sababu yao iko sahihi, lakoni kwa maana ya Tuzo, ukisha sema watu wakachukue form unakuwa umeiondoa, halafu kuhusu category, hivi nani asiye jua Ali kiba na Diamond wanaimba afro-pop, nani asiye jua Kina jux wana imba RNB, halafu ni vitu vidogo kama mki weka wataalam wa muziki wana wasaidia, kwa kuwa malalamiko ya wabongo huwa hayaishi , hivi hata hizi tuzo/mashindano bado malalamiko yatakuwepo tuu.Mi naona ni njia nzuri tu za waandaaji walivoamua msanii ukichukua form na kujaza category flani inaonyesha umeridhika na mziki na nafasi yako, na hyo itatoa ulalamishi na kusema flani kapendelewa hyo category. Sema wasanii wengi walipuuza sasa ndo waona umuhimu wao. Na wengi wanapenda za nje na kusahau kuwa za nyumbani zina recognition muhimu sana tu, mie sijawahigi waona kina Beyonce wanapapatikia tuzo za nje na kudharau za ndani ka Grammy, MTV hata BET, ila kwetu watu wapuuzia vya nyumbani.
Kwani ww unamtetea nani? ok mwaka jana walifanya hiyo bash? maana umesema kila mwaka huwa mnafanyaMlifanya akina nani?
Aaah lembebez ndani ya nyumba,mzee wa bata batani,king of all social media,babu yake kenue,mzee wa totozi!Yote majina yake halafu unataka asiende
Unajua mtu akishazeeka akili zinakuwa za kitotoMnaosema After school bash ya watoto mbona hata le mutuz huwa anenda!?
Yupo kwenye kipengele cha chipukizi, best new comerMan fongo apate tuzo
Kuna kipengele cha singeli!?
Jukwaa limenoga kichizi.Yupo kwenye kipengele cha chipukizi, best new comerView attachment 444778
Hii ilikuwa ni tatizo.
Kwa sababu maana ya tuzo ni recognition ya ubora kwa kile ulicho kifanya, yaani kazi ya msanii pekee inatosha kumfanya aongie kwenye tuzo. Sasa ikitokea siku walienda kuomba kwa barua ni wasanii wa taarabu tu wata fanyaje?
Basi ibadilishwe isitwe tuzo, iitwe hata mashindano ya muziki.
Kama mtu ka kosewa category, waandae nomination, wawepo wataalam wa muziki hata 10, wazipitie, halafu wana wapigia simu bwana Diamond tumekuweka kwenye muimba singeli bora, yeye ata waelimisha kuwa mimi siimbi singeli. Lakini kwa asilimia 90 ni ngum kuchanganya categories
Hapa wame fanya blunder mkuu.
Tuzo ni recognition huwezi ukajipendekeza kuwa recognized.
Kuna Sikh jamaa mmoja alikuwa anawalalamikia basata kwa kuwapa waandae,wakati anafiesta yake wala watu hawamzongizongi, acha watu wafanye kazi zenye welediEatv award wamenikosha sana hivyo ndio tv kubwa duniani zinafanya e.g sound city,,MTV,,BET n.k
Hapana bos malalaiko yangu yako sahihi, uliwahi ona wapi tuzo mtu ana ambiwa akachukue form!!?Mkuu umeanza kulalamika kabla ya muda, sipati picha tunzo zikishatolewa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
View attachment 444780
View attachment 444781
Hata wakishindana Eatv huwa washindi tu, waulize hao clouds na mwanafa wao walivyochoshwa na jide akiungwa mkono na EatvUnaifahamu ratiba ya After Skul Bash? Kila mwaka inakuwa jmosi ya 2 ya disemba! Sasa mlitaka waghairishe kwa sababu ya EATV wakati kama ilikuwa ni lazima kuwa tarehe tofauti basi ni EATV ndio walitakiwa kuweka siku nyingine kwa sababu wakati wanaweka iku ya leo tayar walijua kwamba kunakuwa na ASB!