Darasa leo 'utapafomu' wapi, After school bash au EATV awards?

Hata wakishindana Eatv huwa washindi tu, waulize hao clouds na mwanafa wao walivyochoshwa na jide akiungwa mkono na Eatv
Maelezo yako yana uhusiano na nilichoandika mimi? Kama unatafuta ligi za nani bora, sina time nayo; nilichofanya mimi ni kuweka kumbukumbu sawa... una lina lingine?
 
Its just 14 bro mbna unajifunga mwenyewe
Unaona sasa... kumbe unasema it's 14 ukidhani huwa wanafanya December 14 baada ya kuona Dec 14 mbili hapo juu bila kuangalia kwamba, hiyo moja imeandikwa December 14 lakini heading inasema "Ilivyokuwa Jana....!" which means ilivyokuwa December 13! Na hata ukiangalia kwenye kalenda utakuta December 13, 2014 ilikuwa Jumamosi ya pili ya December kama ilivyo leo kwamba ni Jmosi ya pili ya December 2016!!!
 
Ila leo ni 10th dec mkuu bado hujathibisha ukweli wako
 
Ila leo ni 10th dec mkuu bado hujathibisha ukweli wako
Hivi unachoshindwa kuelewa hapo ni nini?! Post yangu ya kwanza ni hi hapa nikielezea ratiba ya After Skul Bash: Sawa; leo ni tarehe 10... Je, ni jumamosi ya ngapi hii kwa huu mwezi?! Hapo juu nimeonesha mwaka jana ilikuwa December 12; mwaka 2014 ilikuwa December 13 na mwaka 2013 ilikuwa December 14; na zote hizo ni Jumamosi ya pili ya December ya mwaka husika kama ilivyo leo Jumamosi ya pili ya December 2016...



Kwahiyo, endapo hapatakuwa na tatizo, Skul Bash mwakani itakuwa December 09! Waliokuwa kwenye industry wanalifahamu hili in advance au wanatakiwa kufahamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…